Aishitaki hospitali na kudai fidia ya Ksh 6.4 baada ya nesi ambaye ni "Ex wake" kumshona kihuni

Nae alikua na jeuri gani kuhudumiwa na nesi ambae ni x wake? Mi ningesepa labda kama hamna hospital nyingine
 
Wakenya Wana roho mbaya sana.
 
Duh, demu mhuni kweli, amehakikisha msela hang'oi pisi kali tena... Dadeq! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Huyo jamaa sio kwamba walikula deal na huyo demu wake Ili waipige hospital?Huko Kenya Kila kitu kinawezekana😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…