Ukifuatilia tovuti ya chuo kikuu huria cha tanzania utaona kuna jambo la ajabu linaloendelea kwa mpaka sasa kutoonekana majina ya wanachuo watakatunukiwa shahada za udhamili na uzamivu wakati mahafali ni kesho tarehe 27 oktoba 2012. Kwa kawaida kama walivyofanya kwa wanafunzi wa shahada ya kwanza majina yao yalishawekwa kwenye mtandao. Chuo katika matangazo yake kiliahidi kufanya hivyo mapema lakini hakijaweka majina hayo.
Nagembo fahamu kuwa hard copy inaanzia kwenye soft copy
Ukifuatilia tovuti ya chuo kikuu huria cha tanzania utaona kuna jambo la ajabu linaloendelea kwa mpaka sasa kutoonekana majina ya wanachuo watakatunukiwa shahada za udhamili na uzamivu wakati mahafali ni kesho tarehe 27 oktoba 2012. Kwa kawaida kama walivyofanya kwa wanafunzi wa shahada ya kwanza majina yao yalishawekwa kwenye mtandao. Chuo katika matangazo yake kiliahidi kufanya hivyo mapema lakini hakijaweka majina hayo.
Nagembo fahamu kuwa hard copy inaanzia kwenye soft copy
Ni kwa vipi/kiasi gani hili tatizo limekuathiri wewe???
Hapana soft copy inaanza kwenye hardcopy
hakuna kilichomuathiri mtu isipokuwa hii ni habari, si kawaida kwa chuo kikuu kufanya hivyo.haimuathiri mtu kwa kuwa graduands wote wameshalipia majoho, wako kunakohusika, na sherehe na shamrashamra zinaendelea kuandaliwa. Sisi raia tunategemea kupata taarifa kwenye website yao. taarifa hiyo haitolewi kwa graduands tu, bali na wengine kufahamu.
Hard copy ya kuandika kwa mkono sawa. lakini sidhani kama hard copy yako wewe uliyokuwa unazungumzia ni ya kuandika kwa mkono. siku hizi huwezi ukakuta official list iko kwa maandishi yasiyochapwa.