Ndiyo akafundishwa kuwa Kagera inapakana na Sudani Kusini?Huyo Kyombo alihamia CCM akitokea CHADEMA!
Ubunge ni kujua kusoma na kuandika tuTanzania ina matapeli wengi sana,wamejazana hadi kwenye siasa.Jamaa kapendeza kama msomi,kavaa na miwani kabisa lkn anasema mkoa wa kagera umepakana na sudani kusini.Huyu ndiyo unamtegemea akutungie sheria.
Wagombea kabla ya kupitishwa na chama chao,wawe wanapewa mtihani hata wa maswali basic tu kuwapima uelewa.Hawa ndiyo wanachangia kushusha hazi ya Bunge
Kwa hiyo amehama na ujinga wake? Au Lumumba mmemuambukiza ujinga?Huyo Kyombo alihamia CCM akitokea CHADEMA!
Ametutia aibu sana watu wenye vipara.
Huku uswahilini watu wenye upara tunaheshimika sana, sasa huyu bwege atasababisha wote tuonekane vilaza!
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Huyo Kyombo alihamia CCM akitokea CHADEMA!