tinkanyarwele
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 2,016
- 1,946
Anaweza kuwa amekosea kama ilivyo tabia ya binadamu kusahau...lakini zaidi ni kwamba Frolenti Kyombo ni mtu makini sana na anajielew na nina uhakika anaijua vizuri sana ramani na mipaka ya mkoa wa Kagera...hivyo tusimhukumu sana kwa hili.....