Ajabu: Mbunge Florent Kyombo (CCM), adai Kagera inapakana na Sudan Kusini

Ajabu: Mbunge Florent Kyombo (CCM), adai Kagera inapakana na Sudan Kusini

Anaweza kuwa amekosea kama ilivyo tabia ya binadamu kusahau...lakini zaidi ni kwamba Frolenti Kyombo ni mtu makini sana na anajielew na nina uhakika anaijua vizuri sana ramani na mipaka ya mkoa wa Kagera...hivyo tusimhukumu sana kwa hili.....
 
Anaweza kuwa amekosea kama ilivyo tabia ya binadamu kusahau...lakini zaidi ni kwamba Frolenti Kyombo ni mtu makini sana na anajielew na nina uhakika anaijua vizuri sana ramani na mipaka ya mkoa wa Kagera...hivyo tusimhukumu sana kwa hili.....
Mimi CCM Hakuna mtu makini hapo bure huyo mbunge stupid tu
 
Haya kama ingekuwa ni kweli...anataka tumsaidieje?
 
Salaam wakuu,

Mbunge wa Nkenge, Misenyi, Mkoani Kagera adai Nchi ya Sudan kusini inapakana na Mkoa wa Kagera wakati akichangia bajeti ya mambo ya ndani leo.

Amedai Kagera imepatikana na nchi Tano, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC pamoja na nchi zingine na Sudani Kusini.

View attachment 1773217
[emoji23][emoji23]Mitano tena
 
CCM ni sumaku ya Wajinga hiwa inawanasa wajinga kutoka kwenye Vyama vingine
 
Frolent Kyombo ni msomi mbobezi nadhani hakueleweka
Japo siipendi CCM lkn kwa hilo simhukumu
 
Inawezekana alikuwa ana maanisha Mkoa wa Kagera una mwingiliano wa raia kutoka nchi hizo alizozitaja.. Uganda, Kongo DRC, Rwanda, Sudan Kusini nk.

Ila siwezi kumsemea maana hawa wanasiasa wana maajabu yao aisee!!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Pamoja na yote ila nadhani mnasaau kuwa watu wa Kagera ni shida, hawa ni watanzania wa ajabu sana hata pale alikuwa anatamani kusema Kagera inapakana na Misri na hata Morocco na Etiopia.

Kama ukifanikiwa kuingia nyumbani kwa muhaya utazimia maana Certifikate na majoho ya Graduation yanaweka kuanzia barazani mpaka ndani nilikuja kuzima sigara nilipoingia nyumba moja na kukuta amebandika mpaka test za darasani na quzi.
 
Anaweza kuwa amekosea kama ilivyo tabia ya binadamu kusahau...lakini zaidi ni kwamba Frolenti Kyombo ni mtu makini sana na anajielew na nina uhakika anaijua vizuri sana ramani na mipaka ya mkoa wa Kagera...hivyo tusimhukumu sana kwa hili.....
Ata nchi za North Africa zinapakana na ulaya lakini hazishei mipaka na ulaya
 
Hata hiyo Congo wanapakana nayo wapi?....Kagera ina mipaka na Uganda, Rwanda na Burundi......Congo ni Chigoma.
 
Salaam wakuu,

Mbunge wa Nkenge, Misenyi, Mkoani Kagera adai Nchi ya Sudan kusini inapakana na Mkoa wa Kagera wakati akichangia bajeti ya mambo ya ndani leo.

Amedai Kagera imepatikana na nchi Tano, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC pamoja na nchi zingine na Sudani Kusini.

Muhimu ni anajua kusoma na kuandika...[emoji3]

Mwingine alituaibisha ugenini, Tz ni muungano wa Tanzania na Zimbabwe...
 
Mimi nakubaliana na huyo mbunge na sababu zangu ni hizi:
1) Muda anaopewa mbunge kutoa hoja zake unakuwa mdogo, hivyo mambo anayo ongea yana kuwa ni summary ya kitu anachotaka kukielezea. Hivyo anatuachia sisi wasikilizaji kupanua hayo mawazo yake.
2) Katika muingiliano wa biashara - kutoka Tanzania kwenda Sudani ni mkoa wa Kagera uliopakana na Sudani ukipita nchi ya Uganda! Hapa Kupakana sio kutenganishwa na mpaka wa mstari = yaani unene wa msitari! - sasa unene wa mpaka kati ya Kagera na Sudan ni sehemu inayo kaliwa na nchi ya Uganda!
3) hii ni mwendelezo wa 2) juu - Mpaka unaweza ukawa mm au ndogo zaidi, cm, Meter au kilometers nyingi tu lakini baada ya umbali huo kuondolewa, sehemu mbili hizo zinapatikana.
4) Kuliko kumkejeri just jiongeze utaona kiEastAfrika, Kagera inapakana na Sudani kuliko ilivyo Mtwara.
Another kituko
 
Back
Top Bottom