tinkanyarwele
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 2,016
- 1,946
Mimi CCM Hakuna mtu makini hapo bure huyo mbunge stupid tuAnaweza kuwa amekosea kama ilivyo tabia ya binadamu kusahau...lakini zaidi ni kwamba Frolenti Kyombo ni mtu makini sana na anajielew na nina uhakika anaijua vizuri sana ramani na mipaka ya mkoa wa Kagera...hivyo tusimhukumu sana kwa hili.....
Matokeo ya kujua Kusoma na kuandika😆😆😆😆😆😆 huyu mbunge bure kabisa!!!! Eti Kagera inapakana na Kenya, DRC na Sudani Kusini😆😆😆😆
[emoji23][emoji23]Mitano tenaSalaam wakuu,
Mbunge wa Nkenge, Misenyi, Mkoani Kagera adai Nchi ya Sudan kusini inapakana na Mkoa wa Kagera wakati akichangia bajeti ya mambo ya ndani leo.
Amedai Kagera imepatikana na nchi Tano, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC pamoja na nchi zingine na Sudani Kusini.
View attachment 1773217
Kwahiyo ni bado mbunge wa chadema?Huyo Kyombo alihamia CCM akitokea CHADEMA!
Msomi vyetiFrolent Kyombo ni msomi mbobezi nadhani hakueleweka
Japo siipendi CCM lkn kwa hilo simhukumu
Mkuu unashangaa hilo?Ndiyo akafundishwa kuwa Kagera inapakana na Sudani Kusini?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Inawezekana alikuwa ana maanisha Mkoa wa Kagera una mwingiliano wa raia kutoka nchi hizo alizozitaja.. Uganda, Kongo DRC, Rwanda, Sudan Kusini nk.
Ila siwezi kumsemea maana hawa wanasiasa wana maajabu yao aisee!!
Ata nchi za North Africa zinapakana na ulaya lakini hazishei mipaka na ulayaAnaweza kuwa amekosea kama ilivyo tabia ya binadamu kusahau...lakini zaidi ni kwamba Frolenti Kyombo ni mtu makini sana na anajielew na nina uhakika anaijua vizuri sana ramani na mipaka ya mkoa wa Kagera...hivyo tusimhukumu sana kwa hili.....
Muhimu ni anajua kusoma na kuandika...[emoji3]Salaam wakuu,
Mbunge wa Nkenge, Misenyi, Mkoani Kagera adai Nchi ya Sudan kusini inapakana na Mkoa wa Kagera wakati akichangia bajeti ya mambo ya ndani leo.
Amedai Kagera imepatikana na nchi Tano, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC pamoja na nchi zingine na Sudani Kusini.
Ahahahahahhaahhaaha! Tafadhali sana Yohana Mbatizaji! Huyu Kyombo ni Mbunge wangu huko Nkenge na tunatoka wote Kata Kitobo. Ni CCM lialia tangu tukiwa shule ya msingi.Huyo Kyombo alihamia CCM akitokea CHADEMA!
Another kitukoMimi nakubaliana na huyo mbunge na sababu zangu ni hizi:
1) Muda anaopewa mbunge kutoa hoja zake unakuwa mdogo, hivyo mambo anayo ongea yana kuwa ni summary ya kitu anachotaka kukielezea. Hivyo anatuachia sisi wasikilizaji kupanua hayo mawazo yake.
2) Katika muingiliano wa biashara - kutoka Tanzania kwenda Sudani ni mkoa wa Kagera uliopakana na Sudani ukipita nchi ya Uganda! Hapa Kupakana sio kutenganishwa na mpaka wa mstari = yaani unene wa msitari! - sasa unene wa mpaka kati ya Kagera na Sudan ni sehemu inayo kaliwa na nchi ya Uganda!
3) hii ni mwendelezo wa 2) juu - Mpaka unaweza ukawa mm au ndogo zaidi, cm, Meter au kilometers nyingi tu lakini baada ya umbali huo kuondolewa, sehemu mbili hizo zinapatikana.
4) Kuliko kumkejeri just jiongeze utaona kiEastAfrika, Kagera inapakana na Sudani kuliko ilivyo Mtwara.