MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
Ni ajabu ila kweli kuwa mshahara Mbunge Kenya ni 14m Tshs kwa mwezi!
Hii iko hata juu ya malipo ya wabunge Uingereza!
Je mnasemaje JF wakati wandugu kibao Kenya wanakufa njaa kwa kukosa chakula?
Mwalimu Primary Kenya hupata tu laki 2 (200,000 Tshs).
Jamani Jf mnasemaj tofauti hii kubwa hivi kwa wanasiasa?
Nini mchango wa wabunge ktk jamii?? Kupiga domo?
Kumbuka uchaguzi ndo ulileteleza mauaji wa 1500 citizens!
Je tunawahitaji wabunge ili iweje????
Hii iko hata juu ya malipo ya wabunge Uingereza!
Je mnasemaje JF wakati wandugu kibao Kenya wanakufa njaa kwa kukosa chakula?
Mwalimu Primary Kenya hupata tu laki 2 (200,000 Tshs).
Jamani Jf mnasemaj tofauti hii kubwa hivi kwa wanasiasa?
Nini mchango wa wabunge ktk jamii?? Kupiga domo?
Kumbuka uchaguzi ndo ulileteleza mauaji wa 1500 citizens!
Je tunawahitaji wabunge ili iweje????