Ajabu na inashangaza wakuu! Padri aliyefumaniwa jana ndiyo ameendesha ibada leo kanisani

Ajabu na inashangaza wakuu! Padri aliyefumaniwa jana ndiyo ameendesha ibada leo kanisani

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Yaani kuna mambo yanakera sana hii dunia ama hakika ukiwa mfuuatiaji wa kila kitu utaishia kuumwa ugonjwa wa ulcer tu yaani kuna vitu vinakera kweli kwenye hii dunia kwakweli

Nikuambie kitu jana maeneo x kuna padri wa kanisa x maarufu hapa nchini amefumwa gest x akiwa na mke wa mtu akila uroda bahati mbaya au mzuri alichoropoka na akakimbilia polisi kwahiyo jana ameenda kwao akiwa na escort ya polisi akihofia kupigwa na watu wenye hasira kali na mke watu

Sasa nikuambie cha kushangaza leo yeye ndio ameongoza Misa na watu wamekukula kitabio na wamelishwa mkate na padri yule yule yaani haya mambo yanachekesha na kuhuzunisha sana! Leo ndio mwanzo na mwisho kukanyaga kanisani

"Kwanzia leo nimezira kukanyaga kanisani na ama hakika kweli dini ya kiislamu ndiyo dini ya haki wangekuwa waislamu yule kiongozi wa dini angefukuzwa asisalishe! Inakera
 
Yaani kuna mambo yanakera sana hii dunia ama hakika ukiwa mfuuatiaji wa kila kitu utaishia kuumwa ugonjwa wa ulcer tu yaani kuna vitu vinakera kweli kwenye hii dunia kwakweli

Nikuambie kitu jana maeneo x kuna padri wa kanisa x maarufu hapa nchini amefumwa gest x akiwa na mke wa mtu akila uroda bahati mbaya au mzuri alichoropoka na akakimbilia polisi kwahiyo jana ameenda kwao akiwa na escort ya polisi akihofia kupigwa na watu wenye hasira kali na mke watu

Sasa nikuambie cha kushangaza leo yeye ndio ameongoza Misa na watu wamekukula kitabio na wamelishwa mkate na padri yule yule yaani haya mambo yanachekesha na kuhuzunisha sana! Leo ndio mwanzo na mwisho kukanyaga kanisani

"Kwanzia leo nimezira kukanyaga kanisani na ama hakika kweli dini ya kiislamu ndiyo dini ya haki wangekuwa waislamu yule kiongozi wa dini angefukuzwa asisalishe! Inakera
Hapo ndipo sisi binadamu tunapokosea..umeshamhukumu wkt hata ww una madhaifu yako mengi tu

Tusihukumu ili tusije tukahukumiwa

Huwezi jua je kama ameshatubu kwa Mungu wake sasa ww kama nani unamhukumu mwenzio?
 
Yaani kuna mambo yanakera sana hii dunia ama hakika ukiwa mfuuatiaji wa kila kitu utaishia kuumwa ugonjwa wa ulcer tu yaani kuna vitu vinakera kweli kwenye hii dunia kwakweli

Nikuambie kitu jana maeneo x kuna padri wa kanisa x maarufu hapa nchini amefumwa gest x akiwa na mke wa mtu akila uroda bahati mbaya au mzuri alichoropoka na akakimbilia polisi kwahiyo jana ameenda kwao akiwa na escort ya polisi akihofia kupigwa na watu wenye hasira kali na mke watu

Sasa nikuambie cha kushangaza leo yeye ndio ameongoza Misa na watu wamekukula kitabio na wamelishwa mkate na padri yule yule yaani haya mambo yanachekesha na kuhuzunisha sana! Leo ndio mwanzo na mwisho kukanyaga kanisani

"Kwanzia leo nimezira kukanyaga kanisani na ama hakika kweli dini ya kiislamu ndiyo dini ya haki wangekuwa waislamu yule kiongozi wa dini angefukuzwa asisalishe! Inakera
Njoo kwenye USABATO Mkuu.
 
Yaani kuna mambo yanakera sana hii dunia ama hakika ukiwa mfuuatiaji wa kila kitu utaishia kuumwa ugonjwa wa ulcer tu yaani kuna vitu vinakera kweli kwenye hii dunia kwakweli

Nikuambie kitu jana maeneo x kuna padri wa kanisa x maarufu hapa nchini amefumwa gest x akiwa na mke wa mtu akila uroda bahati mbaya au mzuri alichoropoka na akakimbilia polisi kwahiyo jana ameenda kwao akiwa na escort ya polisi akihofia kupigwa na watu wenye hasira kali na mke watu

Sasa nikuambie cha kushangaza leo yeye ndio ameongoza Misa na watu wamekukula kitabio na wamelishwa mkate na padri yule yule yaani haya mambo yanachekesha na kuhuzunisha sana! Leo ndio mwanzo na mwisho kukanyaga kanisani

"Kwanzia leo nimezira kukanyaga kanisani na ama hakika kweli dini ya kiislamu ndiyo dini ya haki wangekuwa waislamu yule kiongozi wa dini angefukuzwa asisalishe! Inakera


Padri, Mchungaji, Shekhe, Mwinjilisti, Kuhani, Katekista, Sista ni watumishi wa Mungu na ni wanadamu kama ulivyo wewe

Kama wewe wewe unavyoingiwaga na shetani na kuisaliti ndoa yako ndivyo hawa wanavyousaliti utumishi wqo

Usimuunganishe Mungu na uchafu wa mtu

Na huyo padri atahukumiwa hukumu ya kwenda nje ya imani na anayemfanyia kazi

Na pia mume wa mliwa uroda ampeleke mahakamani haraka maana kamkamata mgoni wake
 
Mleta mada ulitaka padre atembee na mama yako? Kanisani unamfuata padri au imani yako?! Mbuzi kama wewe akizira chachi hata haisumbui.
 
Back
Top Bottom