Ajabu na inashangaza wakuu! Padri aliyefumaniwa jana ndiyo ameendesha ibada leo kanisani

Ajabu na inashangaza wakuu! Padri aliyefumaniwa jana ndiyo ameendesha ibada leo kanisani

ni watumishi wa Mungu na ni wanadamu kama ulivyo wewe
Sasa hapo ndio pagumu, yaan watumishi wa Mungu alafu ni wanadamu km wewe, nilipoona nyumbani kwa Mapdrii kuna self service fridges zilizojaa mivinyo na bia kibao hususani Safari na Kilimanjaro, nilipunguza kwenda Church
 
Yaani kuna mambo yanakera sana hii dunia ama hakika ukiwa mfuuatiaji wa kila kitu utaishia kuumwa ugonjwa wa ulcer tu yaani kuna vitu vinakera kweli kwenye hii dunia kwakweli

Nikuambie kitu jana maeneo x kuna padri wa kanisa x maarufu hapa nchini amefumwa gest x akiwa na mke wa mtu akila uroda bahati mbaya au mzuri alichoropoka na akakimbilia polisi kwahiyo jana ameenda kwao akiwa na escort ya polisi akihofia kupigwa na watu wenye hasira kali na mke watu

Sasa nikuambie cha kushangaza leo yeye ndio ameongoza Misa na watu wamekukula kitabio na wamelishwa mkate na padri yule yule yaani haya mambo yanachekesha na kuhuzunisha sana! Leo ndio mwanzo na mwisho kukanyaga kanisani

"Kwanzia leo nimezira kukanyaga kanisani na ama hakika kweli dini ya kiislamu ndiyo dini ya haki wangekuwa waislamu yule kiongozi wa dini angefukuzwa asisalishe! Inakera
Mjomba unangoja nini kuslimu?
 
Do as he said not as he doing.

He just like an actor presenting words from the bible not his own words.
 
Yaani kuna mambo yanakera sana hii dunia ama hakika ukiwa mfuuatiaji wa kila kitu utaishia kuumwa ugonjwa wa ulcer tu yaani kuna vitu vinakera kweli kwenye hii dunia kwakweli

Nikuambie kitu jana maeneo x kuna padri wa kanisa x maarufu hapa nchini amefumwa gest x akiwa na mke wa mtu akila uroda bahati mbaya au mzuri alichoropoka na akakimbilia polisi kwahiyo jana ameenda kwao akiwa na escort ya polisi akihofia kupigwa na watu wenye hasira kali na mke watu

Sasa nikuambie cha kushangaza leo yeye ndio ameongoza Misa na watu wamekukula kitabio na wamelishwa mkate na padri yule yule yaani haya mambo yanachekesha na kuhuzunisha sana! Leo ndio mwanzo na mwisho kukanyaga kanisani

"Kwanzia leo nimezira kukanyaga kanisani na ama hakika kweli dini ya kiislamu ndiyo dini ya haki wangekuwa waislamu yule kiongozi wa dini angefukuzwa asisalishe! Inakera
Unaenda kumwabudu padre ama unamwabudu Mungu
 
Labda kaungama jana usiku. 😂

Kujua sheria ni moja, kutekeleza inahitaji imani ya hali ya juu, simlaumu saana huyu padri.

Mtume(s.a.w) aliita mpambano baina ya mtu na nafsi yake ni jihadi kubwa... Yaani ile ya kupigana na mapanga ni ndogo, ila hii ya nafsi ni kubwa.
Ndio maana unakuta mtu anajua sheria lakini yupo radhi aipindishe aidha kwa sababu za kimwili au kiuchumi.... Padri kukamatwa ugoni, ostadh kubaka na mengine mengi si ajabu, ingawa waumini wa dini tofauti huwa wanageuza dhihaka kwa wengine...
 
Kibaya mkuu jana ule mkono ulizama kwenye nanii leo analisha watu mkate wa bwana
 
fata maneno yake na si matendo yake. kila mtu aishi anavyoweza tutakutana tukifika
 
Yaani kuna mambo yanakera sana hii dunia ama hakika ukiwa mfuuatiaji wa kila kitu utaishia kuumwa ugonjwa wa ulcer tu yaani kuna vitu vinakera kweli kwenye hii dunia kwakweli

Nikuambie kitu jana maeneo x kuna padri wa kanisa x maarufu hapa nchini amefumwa gest x akiwa na mke wa mtu akila uroda bahati mbaya au mzuri alichoropoka na akakimbilia polisi kwahiyo jana ameenda kwao akiwa na escort ya polisi akihofia kupigwa na watu wenye hasira kali na mke watu

Sasa nikuambie cha kushangaza leo yeye ndio ameongoza Misa na watu wamekukula kitabio na wamelishwa mkate na padri yule yule yaani haya mambo yanachekesha na kuhuzunisha sana! Leo ndio mwanzo na mwisho kukanyaga kanisani

"Kwanzia leo nimezira kukanyaga kanisani na ama hakika kweli dini ya kiislamu ndiyo dini ya haki wangekuwa waislamu yule
Nadhani huku ni sehemu salama ya kufunguka kwa lolote pasina kuogopa au kuhofia kujulikana.
basi tupe ushahidi wa hoja yako huna sababu ya kumficha jina huyo Padre ma Eneo alilopatikana ma kanisa la wapi.
Sema wanaopafahamu watathibitisha
 
Heeh Sitaki ku comments chochote mbaka mwanasheria wangu aje
 
Hao watu sipendi wawe karibu na mke wangu, hawaaminiki. Ulisema kanisa kubwa, ni lile lisiloruhusu makasisi kuoa? Kama ndivyo unategemea huyo mtu atakusaidia wapi? Ni kwa ujanja wa namna hiyo.
 
Kuna wajuba wanasemaga eti "fuata mafundisho yake usifuate matendo yake" nachekaga sana.

Any way, mfalme daudi alitembea na mke wa mtu na kusuka mpango wa mume wake kuuwawa, ila kwa wakristo leo daudi ni moja ya watu watakatifu kabsa kupata kuishi duniani.

Nb: kije tu kizazi kingine jaman watupokee mzigo wa hizi story za dini jaman!! Zimetuelemea
 
Mume ambiwa msiwaangalie matendo yao angalieni mawaidha Yao unawajua waislam Wewe au unajifurahisha
 
Yaani kuna mambo yanakera sana hii dunia ama hakika ukiwa mfuuatiaji wa kila kitu utaishia kuumwa ugonjwa wa ulcer tu yaani kuna vitu vinakera kweli kwenye hii dunia kwakweli

Nikuambie kitu jana maeneo x kuna padri wa kanisa x maarufu hapa nchini amefumwa gest x akiwa na mke wa mtu akila uroda bahati mbaya au mzuri alichoropoka na akakimbilia polisi kwahiyo jana ameenda kwao akiwa na escort ya polisi akihofia kupigwa na watu wenye hasira kali na mke watu

Sasa nikuambie cha kushangaza leo yeye ndio ameongoza Misa na watu wamekukula kitabio na wamelishwa mkate na padri yule yule yaani haya mambo yanachekesha na kuhuzunisha sana! Leo ndio mwanzo na mwisho kukanyaga kanisani

"Kwanzia leo nimezira kukanyaga kanisani na ama hakika kweli dini ya kiislamu ndiyo dini ya haki wangekuwa waislamu yule kiongozi wa dini angefukuzwa asisalishe! Inakera
Sasa wewe una fake id, unakuja na taarifa umeweka x sasa unatoa taarifa au udaku? Nani afungue hizo code?
 
Hahahahahaha pole jinga wewe.... Kazi ya padre ni mageuzi ya mwili na damu ya Bwana Yesu kristo kutoka kwenye maumbo ya mkate na divai.....
Hata akiwa mlevi sugu au ametoka kulala na wanawake 100 ataifanya hiyo kazi
 
Back
Top Bottom