Ajabu: Simba SC itaitoa TP Mazembe kwa Aggregate ya magoli ambayo itawashangaza wengi

Kwa sisi watu wa mpira tunajua soka ina surprise nyingi..lolote lawezekana.
 
Chukua tiket ya platinum siyo diamond ntakuja kulipa!

wakati ukuta.
 
Futuhiiiii ni futuhi
 
Nikiwa kwenye story za soka daima huikumbuka SIMBA nafurahi kuiona timu yangu ikitinga nusufainali
 
Siyo kila wazo linalokuja kwenye ubongo unaliwasili hapa, sijaona sababu ya kimpira uliyoandika
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sisi watu wa mpira tunajua soka ina surprise nyingi..lolote lawezekana.
Ni kweli.....nani aliyekuwa anajua kuwa Ajax wangeitoa Madrid UEFA? In football any result is possible for both teams regardless of their difference in rankings.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…