Mtoa mada una maono,dalili za Simba to win on aggregate zimeanza kujionyesha.Kule Lubumbashi tunahitaji kuanza tu kufunga goli.Jana tulikosa tu bahati lakini tumekosa goli nyingi
Lakini ikabuma,daaah,tukubali tu TP Mazembe ni Class ingine,you can't beat class kama wewe sio wa class hiyo,its either mwenye class ashuke kama ilivyoshuka Manchester au wewe dhaifu upande class