GENTAMYCINE eeeeh,njoo huku uweke kumbukumbu sawasawa,kuna wajingajinga wa vyura FC, wazee wa kukodisha timu yao kama fremu za Kariakoo wanachonga bila ya kuwa na kumbukumbu sahihi,njoo mkuu,au unasikilizia uteuzi wa Bodi mpya ya gazeti lako pendwa la Uhuru?
View attachment 405929[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wenyewe wanajivunia goli tano, bila ubingwa, kufungwa mechi za msimu wote mwaka Jana.
Saivi kelele nyingi utadhani wameona mwezi...na wakishinda mechi hii ya first October, basi watakuwa na raha sana, hawatakua na haja na ubingwa...
Sisi Yanga uzoefu upo, tukishindwa kihalali au kwa bahati mbaya , ubingwa palepale, kimataifa pale pale!
kuuzwa na kukodishwa kipi bora?hawa wehu kweli ndugu yangu,ushawahi kuona timu inakodishwa duniani,hii mijamaa kwa kweli imevunja rekodi zote za dunia,halafu wamekazana kuwaita simba mbumbumbu kumbe wao ndio zaidi ya simba kwa umbumbumbu
simba ni mali binafsi ya mohamed dewjiuzoefu wa kufungwa kwa kweli mnao kwenye mashindano makubwa,kule hakuna kubebwa kama huku kwenu,rekodi ya goli tano lazima iendelee kuongelewa kwa kuwa bado haijavunjwa,ukitaka tufunge midomo yetu ivunjeni hiyo rekodi,simba hii sio ile mliyoizoea,hii ina utulivu wote,wa akili na mali,kuifunga ujipange,karibu msimbazi,chama la wana wajanja
Heshima kwenu wakuu,
Yaani kila Mwanasimba ninayemuuliza mara ya Mwisho mumeifunga yanga lini, wanaishia kurusha kejeli na kumsema Jerry Muro.
Lakini ukweli ni kwamba Simba si chochote si lolote mbele ya Yanga SC. Hii ni aibu kwa timu inayojiita ya kimataifa kushindwa kuifunga yanga Tangu enzi hizo hata Rais Magufuli hajawa rais hadi sasa ni rais lakini mumeshindwa Ifunga Yanga.
Kelele Simba wanazopiga ni za nini? au za kuifunga Ndanda na stand united?
Namomba kujua Simba wanajivunia nini hasa hadi tunashindwa kulala usiku sababu ya makelele yao
Simba wanatumia 1% kufikiri.. Nashangaa kujinasibu mna timu nzuri ila sioni tofauti na msimu uliopita... Hamisi kiiza ni mfungaji mzuri kushinda Mavugo uwa hakosi magoli mepesi kama huyu mrundi... Ajibu ndio yuleyule kuifunga Yanga hawezi.. Kichuya wala sioni atafanya kipi kwa Abdul au Mwinyi... Lufunga na Mwanjali yale ya Banda yanajirudiaTarehe 1/10 utashika ukuta tuu mnyama atanguruma
GENTAMYCINE eeeeh,njoo huku uweke kumbukumbu sawasawa,kuna wajingajinga wa vyura FC, wazee wa kukodisha timu yao kama fremu za Kariakoo wanachonga bila ya kuwa na kumbukumbu sahihi,njoo mkuu,au unasikilizia uteuzi wa Bodi mpya ya gazeti lako pendwa la Uhuru?
Nitaongea zaidi jioni ya Saa 12 mnamo tarehe 1, October 2016. Vuta subira!
simba ni mali binafsi ya mohamed dewji
kuuzwa na kukodishwa kipi bora?
kuliko kuwa mshabiki wa Simba...bora ushabikie MBAO FCyanga ni kama fremu ya kukodisha ya kariakoo na ndio maana mwekezaji uchwara akadiriki kutaka kuikodisha hiyo fremu na mashabiki mlivyokuwa wa uchwara mkamkubalia bila kukubaliana terms za contract