Ajabu: Tangu 2014 Simba SC hawajawahi ifunga Yanga SC

Ajabu: Tangu 2014 Simba SC hawajawahi ifunga Yanga SC

GENTAMYCINE eeeeh,njoo huku uweke kumbukumbu sawasawa,kuna wajingajinga wa vyura FC, wazee wa kukodisha timu yao kama fremu za Kariakoo wanachonga bila ya kuwa na kumbukumbu sahihi,njoo mkuu,au unasikilizia uteuzi wa Bodi mpya ya gazeti lako pendwa la Uhuru?
1474697129245.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wenyewe wanajivunia goli tano, bila ubingwa, kufungwa mechi za msimu wote mwaka Jana.

Saivi kelele nyingi utadhani wameona mwezi...na wakishinda mechi hii ya first October, basi watakuwa na raha sana, hawatakua na haja na ubingwa...

Sisi Yanga uzoefu upo, tukishindwa kihalali au kwa bahati mbaya , ubingwa palepale, kimataifa pale pale!
 
Wenyewe wanajivunia goli tano, bila ubingwa, kufungwa mechi za msimu wote mwaka Jana.

Saivi kelele nyingi utadhani wameona mwezi...na wakishinda mechi hii ya first October, basi watakuwa na raha sana, hawatakua na haja na ubingwa...

Sisi Yanga uzoefu upo, tukishindwa kihalali au kwa bahati mbaya , ubingwa palepale, kimataifa pale pale!


uzoefu wa kufungwa kwa kweli mnao kwenye mashindano makubwa,kule hakuna kubebwa kama huku kwenu,rekodi ya goli tano lazima iendelee kuongelewa kwa kuwa bado haijavunjwa,ukitaka tufunge midomo yetu ivunjeni hiyo rekodi,simba hii sio ile mliyoizoea,hii ina utulivu wote,wa akili na mali,kuifunga ujipange,karibu msimbazi,chama la wana wajanja
 
hawa wehu kweli ndugu yangu,ushawahi kuona timu inakodishwa duniani,hii mijamaa kwa kweli imevunja rekodi zote za dunia,halafu wamekazana kuwaita simba mbumbumbu kumbe wao ndio zaidi ya simba kwa umbumbumbu
kuuzwa na kukodishwa kipi bora?
 
uzoefu wa kufungwa kwa kweli mnao kwenye mashindano makubwa,kule hakuna kubebwa kama huku kwenu,rekodi ya goli tano lazima iendelee kuongelewa kwa kuwa bado haijavunjwa,ukitaka tufunge midomo yetu ivunjeni hiyo rekodi,simba hii sio ile mliyoizoea,hii ina utulivu wote,wa akili na mali,kuifunga ujipange,karibu msimbazi,chama la wana wajanja
simba ni mali binafsi ya mohamed dewji
 
Heshima kwenu wakuu,

Yaani kila Mwanasimba ninayemuuliza mara ya Mwisho mumeifunga yanga lini, wanaishia kurusha kejeli na kumsema Jerry Muro.

Lakini ukweli ni kwamba Simba si chochote si lolote mbele ya Yanga SC. Hii ni aibu kwa timu inayojiita ya kimataifa kushindwa kuifunga yanga Tangu enzi hizo hata Rais Magufuli hajawa rais hadi sasa ni rais lakini mumeshindwa Ifunga Yanga.

Kelele Simba wanazopiga ni za nini? au za kuifunga Ndanda na stand united?

Namomba kujua Simba wanajivunia nini hasa hadi tunashindwa kulala usiku sababu ya makelele yao

Kwa hiyo mmezoea kufungwa na Mnyama ndo maana mnaona ajabu kutokufungwa tokea 2014?
Basi jiandaeni kula kichapo msimu huu.
 
Tarehe 1/10 utashika ukuta tuu mnyama atanguruma
Simba wanatumia 1% kufikiri.. Nashangaa kujinasibu mna timu nzuri ila sioni tofauti na msimu uliopita... Hamisi kiiza ni mfungaji mzuri kushinda Mavugo uwa hakosi magoli mepesi kama huyu mrundi... Ajibu ndio yuleyule kuifunga Yanga hawezi.. Kichuya wala sioni atafanya kipi kwa Abdul au Mwinyi... Lufunga na Mwanjali yale ya Banda yanajirudia
 
Unaongea bila takwimu kiiza mzuri kuliko mavugo kwa takwimu zipi? Wewe subiria upigwe kitu cha moto
 
GENTAMYCINE eeeeh,njoo huku uweke kumbukumbu sawasawa,kuna wajingajinga wa vyura FC, wazee wa kukodisha timu yao kama fremu za Kariakoo wanachonga bila ya kuwa na kumbukumbu sahihi,njoo mkuu,au unasikilizia uteuzi wa Bodi mpya ya gazeti lako pendwa la Uhuru?

Nitaongea zaidi jioni ya Saa 12 mnamo tarehe 1, October 2016. Vuta subira!
 
simba ni mali binafsi ya mohamed dewji


yanga ni kama fremu ya kukodisha ya kariakoo na ndio maana mwekezaji uchwara akadiriki kutaka kuikodisha hiyo fremu na mashabiki mlivyokuwa wa uchwara mkamkubalia bila kukubaliana terms za contract
 
Kuna kipindi Yanga walikaa miaka nane bila kuonja ushindi dhidi ya Simba, ilikuwa wakijitahidi sana ni sare tu nazo hazikuwa nyingi sana zaidi ya hapo ni vichapo kwa kwenda mbele.
 
yanga ni kama fremu ya kukodisha ya kariakoo na ndio maana mwekezaji uchwara akadiriki kutaka kuikodisha hiyo fremu na mashabiki mlivyokuwa wa uchwara mkamkubalia bila kukubaliana terms za contract
kuliko kuwa mshabiki wa Simba...bora ushabikie MBAO FC
 
Back
Top Bottom