Tetesi: Ajali gari ya IT Mdaula

Picha kusapoti uzushi wako?
Nimeshuhudia mili ya watu kwenye defender na Tank pulling ikiwa ng'ambo ya barabara na saloon car nyeupe sikuweza kupga picha simu ilizima chaj nilitegemea kukutana na hyoo habari asubuhi lakini kimyaa ad saiv
 
Watajiua wenyewe huko

Wamezidi ubishi

Ova
 
Watu wanapukutika kama inchi iko vitani,na hamna anayejali kila mtu kawa panya hakuna kusikia amri ya mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…