Dereva asafiri peke yake kwenye gari limekuwa jeneza?Kwani hizi IT si zilizuiliwa kubeba abiria?
Picha kusapoti uzushi wako?Mwenye taarifa ya ajali ya gari ya IT iliyotokea Mdaula nmesikia ilikuwa na abiria wa 5 hajatoka hata mmoja, nilikutana na foleni kubwa hapo saa 10 alfajiri
Usiku wanakula vichwa wanajua Serekali imelalaa!!Kwani hizi IT si zilizuiliwa kubeba abiria?
Nimeshuhudia mili ya watu kwenye defender na Tank pulling ikiwa ng'ambo ya barabara na saloon car nyeupe sikuweza kupga picha simu ilizima chaj nilitegemea kukutana na hyoo habari asubuhi lakini kimyaa ad saivPicha kusapoti uzushi wako?
Karibu na Msoga Kwa Jk
Ukipita Chalinze kama unakwenda MorogoroNdowapi hukoo
Aah wapi, trafiki wapo njiani mwisho Mikumi, magari huondoka kabla ya saa 12 jioni.Usiku wanakula vichwa wanajua Serekali imelalaa!!