Nachaone
Member
- Sep 24, 2018
- 67
- 73
[emoji305][emoji305]UJUMBE WA LEO[emoji305][emoji305] .
[emoji771][emoji771][emoji771][emoji771][emoji771][emoji771][emoji771][emoji771]
Ajali kumi mbaya
.
. Hizi ndio ajali mbaya kuliko zote hapa Duniani.
Japo wengi huziona za kawaida tu, omba usikutane nazo kabisa!
1.[emoji871] Kuvunjika Moyo wa Kuswali
2.[emoji871]Kutopenda kusikiliza mawaidha
3.[emoji871]Kutojali halali na haramu
4.[emoji871]Kutosoma QUR-AN
5.[emoji871]Kuondokewa na hofu ya Mungu
6[emoji871].Kutowajali wazazi
7.[emoji871]Kutokuwa na huruma kwa viumbe vya Allah
8.[emoji871]Kutenda Dhambi wakati unajua
9.Kudhani utaishi milele
10[emoji871].Kubwa zaidi ya yote Kutokua na Roho ya Kusamehe.
Namuomba ALLAH atuepushe na ajali hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji771][emoji771][emoji771][emoji771][emoji771][emoji771][emoji771][emoji771]
Ajali kumi mbaya
.
. Hizi ndio ajali mbaya kuliko zote hapa Duniani.
Japo wengi huziona za kawaida tu, omba usikutane nazo kabisa!
1.[emoji871] Kuvunjika Moyo wa Kuswali
2.[emoji871]Kutopenda kusikiliza mawaidha
3.[emoji871]Kutojali halali na haramu
4.[emoji871]Kutosoma QUR-AN
5.[emoji871]Kuondokewa na hofu ya Mungu
6[emoji871].Kutowajali wazazi
7.[emoji871]Kutokuwa na huruma kwa viumbe vya Allah
8.[emoji871]Kutenda Dhambi wakati unajua
9.Kudhani utaishi milele
10[emoji871].Kubwa zaidi ya yote Kutokua na Roho ya Kusamehe.
Namuomba ALLAH atuepushe na ajali hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app