Jamani,wandugu naombeni ushauri tafadhari.Kuna kijana wangu wa miaka 17 anapenda sana mieleka na kick box,sasa juzi kamchokoza msela mmoja kampiga Kofi moja la kwenye korodani,zote zimeshuka chini lakini hazijapasuka.
Sasa nauliza kuna dawa ya kuzirudisha kuwa jinsi zilivyokuwa,halafu kweli atakuwa na uwezo wa kumtia mimba kweli mtu na hizi korodani zinazoninginia sana chini
Sasa nauliza kuna dawa ya kuzirudisha kuwa jinsi zilivyokuwa,halafu kweli atakuwa na uwezo wa kumtia mimba kweli mtu na hizi korodani zinazoninginia sana chini