Ajali: Mabasi mawili ya Mwendokasi yamegongana leo Septemba 13, 2022

Ajali: Mabasi mawili ya Mwendokasi yamegongana leo Septemba 13, 2022

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Kuna taarifa kuwa kumetokea ajali ya mabasi mawili ya Mwendo Kasi maeneo ya Mbezi kwa Yusuph, Dar es Salaam, leo Septemba 13, 2022. Kuna mwenye taarifa kamili kuhusu tukio hili?

Fcg02JtWAAINX7g.jpg

Fcg03QoWQAA6In4.jpg
 
Mi mwenzenu nkipanda basis sipendi kukaa mbele wala nyuma.nkikaa nyuma naona kabisa kifo kinanifuata, mbele naona kinakuja USO kwa USO.

Migari yeneyewe siielewi.pata picha hili gari ya mbele kuna watu halafu wamesinzia huko mwisho
 
Mi mwenzenu nkipanda basis sipendi kukaa mbele wala nyuma.nkikaa nyuma naona kabisa kifo kinanifuata.mbele naona kinakuja USO kwa USO.
Migari yeneyewe siielewi.pata picha hill gari ya mbele kuna watu halafu wamesinzia huko mwisho

Unaamshwa na mkato wa glass kisogoni.
 
Kwa muonekano wa mabasi nadhani hakuna abiria aliyepoteza maisha,labda majeruhi tu.
Anyway tungoje taarifa kamili.
 
huo ni uzembe wa dereva wa gari ya nyuma
 
Back
Top Bottom