Ajali Manga -Segera : Camera ndio suluhisho au Mashimo ya TANROAD?

Ajali Manga -Segera : Camera ndio suluhisho au Mashimo ya TANROAD?

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Barabara ya Dar -Arusha kuptia Tanga kuna ajali nyingi ambayo madera wanachangia kiasi kidogo ila kwa sehemu kubwa ni mamlaka inayosimamia barabara.

Maeneo ya Tengwe, Kwankale, Changombe,Kabuku Kwedukazu, Chogo Stand , Msambiazi , Manga na Segera kuna mashimo , kuna kona ambazo magari makubwa yakiharibika hakuna pa kupaki na ajali nyingi ni kukwepa mashimo.

Kuweka Camera barabarani ni suluhisho dogo sana, kwanza barabara itengenezwe vizuri, mashimo yafunikwe na camera zifuate.
Msando anaposema kuna Camera wanafunga ambazo hatutaziona, zitasaidia ninin kama Dereva kakimbia, sababaisha ajali na vifo hata akifungwa maisha atarudisha maisha ya wafu?
Hizi barabara tumeachiwa na wakoloni , kipindi Tanganyika hakuna magari zaidi ya elfu mbili, leo hii tuna magari zaidi ya milioni 15 na bado tunaendelea na wembamba ule ule?

Je, zile gari VXR zenye namba zisizo eleweka nazo zinahusika na hizo Camera?

 
mbaya zaidi pesa ya road patrol ipo , kwahili nimemkumbuka magufuli baada ya lile daraja gairo kusombwa na maji ..... ukiweza ambatanisha Ile clip itafute weka kusapoti bandiko lako
 
Barabara ya Dar -Arusha kuptia Tanga kuna ajali nyingi ambayo madera wanachangia kiasi kidogo ila kwa sehemu kubwa ni mamlaka inayosimamia barabara.

Maeneo ya Tengwe, Kwankale, Changombe,Kabuku Kwedukazu, Chogo Stand , Msambiazi , Manga na Segera kuna mashimo , kuna kona ambazo magari makubwa yakiharibika hakuna pa kupaki na ajali nyingi ni kukwepa mashimo.

Kuweka Camera barabarani ni suluhisho dogo sana, kwanza barabara itengenezwe vizuri, mashimo yafunikwe na camera zifuate.
Msando anaposema kuna Camera wanafunga ambazo hatutaziona, zitasaidia ninin kama Dereva kakimbia, sababaisha ajali na vifo hata akifungwa maisha atarudisha maisha ya wafu?
Hizi barabara tumeachiwa na wakoloni , kipindi Tanganyika hakuna magari zaidi ya elfu mbili, leo hii tuna magari zaidi ya milioni 15 na bado tunaendelea na wembamba ule ule?

Je, zile VXR zenye namba zisizo eleweka nazo zinahusika na hizo Camera?


Kuboresha miundombinu ya barabara ndio suluhisho lililo Bora zaidi katika kudhibiti ajali za Barabarani kwenye maeneo hayo
 
Back
Top Bottom