georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
1.anza na mwenye gar kwa kumuandikia barua called intention to sue ukidai akulipe akishindwa unamsue.2.mwenye gar ndo atalipia gharama ila ktka kaz utamuomba akulipe kitu kinaitwa prospective damage( tegemeo la badae kulingana na kipato ulichokua unspata; inahitaj hesabu kdgo)kma huwez kurud kazin tena coz of hyo ajali.3.ndio nilazima.4.utafungua kesi mahakaman ili akulipe.kma huwez kufka mahakaman coz ya huo ugonjwa utawkilishwa na ndugu,mzazi,mlezi.au wakili.
mzee, shukurani sana kwa msaada wako. Angalau nimepata pa kuanzia.1.anza na mwenye gar kwa kumuandikia barua called intention to sue ukidai akulipe akishindwa unamsue.2.mwenye gar ndo atalipia gharama ila ktka kaz utamuomba akulipe kitu kinaitwa prospective damage( tegemeo la badae kulingana na kipato ulichokua unspata; inahitaj hesabu kdgo)kma huwez kurud kazin tena coz of hyo ajali.3.ndio nilazima.4.utafungua kesi mahakaman ili akulipe.kma huwez kufka mahakaman coz ya huo ugonjwa utawkilishwa na ndugu,mzazi,mlezi.au wakili.
Asante sana kwa ushauri mzuri. Jumanne nawafuata bima kusikia kauli yao. nitakujulisha kwa ushauri zaidi. asante.Hata kama mmiliki wa gari ana bima ndogo bina inasahili kukulipa kutokana na Pollicy zao za passenger liability, kaha hayo malipo hutaridhika nayo unaweza kumhusisha mmiliki wa gari.
Tuwasiliane naweza kukusaidia zaidi.
Asante sana kwa mchango wako, mkuu. Natarajia kuwaona bima jumanne ijayo, hivyo nitakujulisha maendeleo na kuomba ushauri zaidi. Asante sana.Kwa kuongezea kidogo, bima sio ndogo- ndio maana ya third party! mwenye gari hatalipwa, bima hii ina-cover wewe (maana ya third party) Hivyo asiwe na wasiwasi na third party!
KAsante sana kwa mchango wako, mkuu. Natarajia kuwaona bima jumanne ijayo, hivyo nitakujulisha maendeleo na kuomba ushauri zaidi. Asante sana.