georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
Mimi nilikuwa abiria kwenye basi lililopata ajali Mikumi, Morogoro, 2011.
Nilipata majeraha makubwa na kulazwa hospitali kwa miaka miwili-na bado nipo hospitali.
Wakati ndugu wanafuatilia nyaraka za ajali ili kupeleka madai ya malipo bima wamegundua kwamba basi lile lilikuwa na bima ndogo-third party.
Swali
1. Nianzie wapi kufuatilia madai yangu kama gari lilikwa na bima ndogo?
2. Ni nani hapa anawajibika kunilipia gharama za matibabu na kupoteza kipato?
3. Je, kisheria basi za abiria wanaruhusiwa kukata Third party insurance?
4. kama Mmiliki wa basi amegoma kunisaidia gharama za matibabu nifanyeje?
Nilipata majeraha makubwa na kulazwa hospitali kwa miaka miwili-na bado nipo hospitali.
Wakati ndugu wanafuatilia nyaraka za ajali ili kupeleka madai ya malipo bima wamegundua kwamba basi lile lilikuwa na bima ndogo-third party.
Swali
1. Nianzie wapi kufuatilia madai yangu kama gari lilikwa na bima ndogo?
2. Ni nani hapa anawajibika kunilipia gharama za matibabu na kupoteza kipato?
3. Je, kisheria basi za abiria wanaruhusiwa kukata Third party insurance?
4. kama Mmiliki wa basi amegoma kunisaidia gharama za matibabu nifanyeje?