Mara nyingi nasafiri kwa njia hii na hukutana ajali si chini ya mbili.
Athari za ajali zinafahamika; ulemavu, kupoteza maisha na mali.
Njia hii imekuwa ndogo na msongamano ni mkubwa.
Kama serikali iliweza kutoa ruzuku ya bil 100 kila mwezi, kwanini isitenge bil 30 tu kila mwezi kwa njia hii
Athari za ajali zinafahamika; ulemavu, kupoteza maisha na mali.
Njia hii imekuwa ndogo na msongamano ni mkubwa.
Kama serikali iliweza kutoa ruzuku ya bil 100 kila mwezi, kwanini isitenge bil 30 tu kila mwezi kwa njia hii