Ajali nyingine ya ndege binafsi yamuua mwanamziki mashuhuri wa country Brazil

Ajali nyingine ya ndege binafsi yamuua mwanamziki mashuhuri wa country Brazil

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka Mwanajamvi!

Ajali ya ndege binafsi (Private jet) iliyosababisha Kifo cha mwanamziki wa country music kutoka Brazil imepelekea mshtuko mkubwa sana Brazil na nchi za Latin.
50146709-10172815-Mar_lia_Mendon_a_who_was_killed_in_a_plane_crash_near_a_waterfal-a-1_1636232...jpg


Marilia Mendonca miaka 26, alikufa pamoja na wengine wanne wote waliokuwa kwenye iyo ndege twin-engine plane shattered against the rocks ambayo ilianguka ijumaa karibu na kwenye maporomoko kusini mashariki Brazil ambapo walikuwa wakielekea mji wa Minas Gerais Caratinga ambapo alitarajiwa kuperform kwenye tamasha.
50146713-10172815-Minas_Gerais_Military_Firefighters_Corps_shows_the_airplane_plan-a-2_1636227...jpg
50131961-10172815-Minas_Gerais_Military_Firefighters_Corps_shows_the_airplane_that-a-2_1636232...jpg


Mendonca aliweka video kwenye account zake za Twitter na Instagram saa moja kabla ya ajali iyo kutokea ikimuonesha akisukumiza begi lake na kubeba guitar akitembea kuingia kwenye ndege yake.
50122365-10172815-Brazilian_country_music_singer_Mar_lia_Mendon_a_uploaded_a_video-a-27_163623...jpg


Mendonca ambaye jina lake la utani 'Queen of suffering" kwa nyimbo zake zenye hisia na ujumbe mzito kwa waliovunjika moyo kwenye mapenzi pia nyimbo zake zilikuwa na ujumbe kuwapa nguvu wanawake.

Alikuwa na subscribers 22 millions youtube, 39 millions Instagram.

Kifo chake kimeleta Simanzi Brazil na watu maarufu kutuma salamu za rambirambi akiwemo Rais wa Brazil Jair Blosonaro na Neymar ambao walisema taifa liko kwenye mshtuko
50146783-10172815-Screen_grab_of_a_video_posted_by_Brazilian_country_music_singer_-a-6_1636227...jpg
 
Ndege binafsi wanatumia marubani wa "kuunga unga". Haviko stable upepo kidogo ,miguu juu.

Marubani hawana sauti kwamiliki . Hali ya hewa ikiwa mbaya hawasikilizwi,we twende bwana.

Gharama za matengenezo ni kubwa na ndege hazitumii NHIF,unatoa cash.
 
Je sababu hasa huenda ikawa ni nini?
Kwa mfano kwa Kobe Bryant alikuwa ana helicopter (chopper) kinsingi hio Ina engine moja na rotor ikifeli lazima muende chini, huyu mwanamuziki wa Brazil yeye alikuwa na ndege ya twin- turbine (nayo ni jet ya bei rahisi japo Ina engine mbili). Kwa mtazamo wangu naona ni technical failures ndio sababu. Jet ambazo rare sana kupata ajali ni mid-range jets na high-end jets. Hapa ni kama Bombardier Challenger (mid-range jet) na nyinginezo ambazi mostly huanzia $15,000,000 kwenda juu, hizi jets huwa na engine 4 na kuendelea,na engine inaweza feli angani na bado mkaweza kuland salama kutokana na engine zingine kuwa nzima.
 
ni jet ya bei rahisi japo Ina engine mbili). Kwa mtazamo wangu naona ni technical failures ndio sababu. Jet ambazo rare sana kupata ajali ni mid-range jets na high-end jets. Hapa ni kama Bombardier Challenger (mid-range jet) na nyinginezo ambazi mostly huanzia $15,000,000 kwenda juu, hizi jets huwa na engine 4 na kuendelea,na engine inaweza feli angani na bado mkaweza kuland salama
Ahsante kwa ufafanuzi wa kina.
 
Kwa mfano kwa Kobe Bryant alikuwa ana helicopter (chopper) kinsingi hio Ina engine moja na rotor ikifeli lazima muende chini, huyu mwanamuziki wa Brazil yeye alikuwa na ndege ya twin- turbine (nayo ni jet ya bei rahisi japo Ina engine mbili). Kwa mtazamo wangu naona ni technical failures ndio sababu. Jet ambazo rare sana kupata ajali ni mid-range jets na high-end jets. Hapa ni kama Bombardier Challenger (mid-range jet) na nyinginezo ambazi mostly huanzia $15,000,000 kwenda juu, hizi jets huwa na engine 4 na kuendelea,na engine inaweza feli angani na bado mkaweza kuland salama kutokana na engine zingine kuwa nzima.

Mkuu hata ndege yenye engine mbili inaweza kupata hitilafu kwenye engine moja na mkaland salama.

Pia ndege zenye engine 4 zipo na siyo kama wewe unavyodai.

Mfano Kuna Airbus A380, Airbus A340 na Boeing 747. Hizi ndio ambazo nimezikumbuka haraka haraka.

Na katika hizo nilizotaja ni B747 tu ndio bado inazalishwa...

The rest wameshaacha kuzalisha.
 
Kafa kabla hajanipa jibu langu aliniambia ananifikiria
 
Back
Top Bottom