Ajali nyingine ya ndege binafsi yamuua mwanamziki mashuhuri wa country Brazil

Ajali nyingine ya ndege binafsi yamuua mwanamziki mashuhuri wa country Brazil

Ajali za anga hazina secnd chance dah ni mara moja tu umepotea 😟😟😟
 
Ajali za ndege na Helicopter binafsi zimeshamiri kutokea sana miaka ya karibuni na kuua watu matajiri na watu mashuhuri.
Kenya wanatukia helikopta kuua watu mashuhuri/wanasiasa
 
Siku napaa pale BORA INTR.nilikuwa mwingi wa mawazo sana! Hasa nilikuwa nawaza kifo cha Kobe na Gigi [emoji848][emoji22]

Ashukuriwe mola nilifika salama huko ughaibuni
 
Mzuka Mwanajamvi!

Ajali ya ndege binafsi (Private jet) iliyosababisha Kifo cha mwanamziki wa country music kutoka Brazil imepelekea mshtuko mkubwa sana Brazil na nchi za Latin.View attachment 2001878

Marilia Mendonca miaka 26, alikufa pamoja na wengine wanne wote waliokuwa kwenye iyo ndege twin-engine plane shattered against the rocks ambayo ilianguka ijumaa karibu na kwenye maporomoko kusini mashariki Brazil ambapo walikuwa wakielekea mji wa Minas Gerais Caratinga ambapo alitarajiwa kuperform kwenye tamasha.View attachment 2001880View attachment 2001881

Mendonca aliweka video kwenye account zake za Twitter na Instagram saa moja kabla ya ajali iyo kutokea ikimuonesha akisukumiza begi lake na kubeba guitar akitembea kuingia kwenye ndege yake. View attachment 2001885

Mendonca ambaye jina lake la utani 'Queen of suffering" kwa nyimbo zake zenye hisia na ujumbe mzito kwa waliovunjika moyo kwenye mapenzi pia nyimbo zake zilikuwa na ujumbe kuwapa nguvu wanawake.

Alikuwa na subscribers 22 millions youtube, 39 millions Instagram.

Kifo chake kimeleta Simanzi Brazil na watu maarufu kutuma salamu za rambirambi akiwemo Rais wa Brazil Jair Blosonaro na Neymar ambao walisema taifa liko kwenye mshtukoView attachment 2001886
Upande wa abiria unaonekana haujaharikibika kabisaaaa, may be lbd walitua kwa kishindo na kupata mshtuko
 
Mkuu hata ndege yenye engine mbili inaweza kupata hitilafu kwenye engine moja na mkaland salama.

Pia ndege zenye engine 4 zipo na siyo kama wewe unavyodai.

Mfano Kuna Airbus A380, Airbus A340 na Boeing 747. Hizi ndio ambazo nimezikumbuka haraka haraka.

Na katika hizo nilizotaja ni B747 tu ndio bado inazalishwa...

The rest wameshaacha kuzalisha.
Sijapinga uwepo wa ndege zenye engine 4 miongoni mwa hizo ulizotaja. Binafsi sio aeronautical engineer ila nimefuatilia ndege nyingi kuhusiana na umiliki na gharama zake za uendeshaji na drawdowns/limitations (utafiti wangu umejikita zaidi kwenye private jets). Nakubali na napenda kurekebishwa ili nami nijifunze kilichosahihi. Engine kubwa na zaidi ya moja huongeza uwezo wa kuruka mbali zaidi bila refueling pamoja safety, miongoni mwa machache nayojua haraka haraka. Na kweli helicopter rotor inapofeli lazima mshuke chinj, hamna namna ya kujitetea angani zaidi ya kuchukua parachutes.
 
Ndege binafsi wanatumia marubani wa "kuunga unga". Haviko stable upepo kidogo ,miguu juu.

Marubani hawana sauti kwamiliki . Hali ya hewa ikiwa mbaya hawasikilizwi,we twende bwana.

Gharama za matengenezo ni kubwa na ndege hazitumii NHIF,unatoa cash.
Hujui lolote kuhusu aviation you'd rather shut off ur asshole[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Kwa mfano kwa Kobe Bryant alikuwa ana helicopter (chopper) kinsingi hio Ina engine moja na rotor ikifeli lazima muende chini, huyu mwanamuziki wa Brazil yeye alikuwa na ndege ya twin- turbine (nayo ni jet ya bei rahisi japo Ina engine mbili). Kwa mtazamo wangu naona ni technical failures ndio sababu. Jet ambazo rare sana kupata ajali ni mid-range jets na high-end jets. Hapa ni kama Bombardier Challenger (mid-range jet) na nyinginezo ambazi mostly huanzia $15,000,000 kwenda juu, hizi jets huwa na engine 4 na kuendelea,na engine inaweza feli angani na bado mkaweza kuland salama kutokana na engine zingine kuwa nzima.
Hata hizi executive jets kama Gulfstream550 anayoitumia rais ni rarely kupata fatal accidents ...
 
Sijapinga uwepo wa ndege zenye engine 4 miongoni mwa hizo ulizotaja. Binafsi sio aeronautical engineer ila nimefuatilia ndege nyingi kuhusiana na umiliki na gharama zake za uendeshaji na drawdowns/limitations (utafiti wangu umejikita zaidi kwenye private jets). Nakubali na napenda kurekebishwa ili nami nijifunze kilichosahihi. Engine kubwa na zaidi ya moja huongeza uwezo wa kuruka mbali zaidi bila refueling pamoja safety, miongoni mwa machache nayojua haraka haraka. Na kweli helicopter rotor inapofeli lazima mshuke chinj, hamna namna ya kujitetea angani zaidi ya kuchukua parachutes.
Wewe waona ni aina ya ndege zipi binafsi zenye uimara zaidi?
Na bei yake inaanzia US $ ngapi?
 
Kwa ufahamu wangu ndege za bei rahisi ndio hizo ambazo tunasikia sana ajali zake, mfano Helicopter ya kawaida tu ya kutembelea huuzwa $2mil ($2,000,000) karibu sawa na bil. 5 TZS ila ndege zenye akili na very reliable angalau bei yake huwa ni from $15,000,000 japo hapa unakuwa umeotea sana,nyingi huuzwa kuanzia $20,000,000 (unaweza bahatisha maana nyingi ni used jets so kila kampuni inayouza huwa ina bei yake kulingana na brand yao na bei ya sokoni) na Bombardier Challenger nyingi huanzia bei hio. Mfano wa Bombardier ya mid-range ni jet ya Davido anayosafiria (gharama yake ni around $20,000,000 hio ni base price bila Kodi). Jet kama aliyokuwa anatumia Warren Buffett hio ni kuanzia $45,000,000 na kuna jets zinakuja na features nyingi sana, zingine zinafika hadi $100,000,000. Jets Ina ballroom, swimming pool, golf yard na taka taka kibao, yaani kwa safari ya masaa 30+ huwezi kuwa umekaa tu. Utakaa, utaoga, utalala, utakula, utacheza golf na mengine kibao. Ni wewe na pesa yako tu. (Maintainance ya jet kwa mwaka Tenga walau USD 1-3mil. Kama pesa inakuruhusu jichange umiliki, lakini ni muhimu kuwa na safari nyingi ndani ya mwaka, nje ya hapo ni hasara kununua jet while safari zako ni chache, ndio maana wengi hawanunui japo uwezo wa kumiliki wanao. Kila la kheri mkuu, binafsi napenda sana jets, hapo kwa mid-range jets ndio penyewe kabisa. (13-14 passengers, WiFi, kitchen + coffee maker, 1/2 bedroom pamoja na displays kwisha habari). Kumiliki jet ni sawa na kumiliki gari, safari haupangiwi so long as weather inaruhusu na upo tayari kusafiri na watu wako.
 
Back
Top Bottom