M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
usalama wa ndege zao kama ilivyoainishwa na umoja wa ulaya (EU).Ungesema somo lipi hasa wajifunze.
Ndege zote duniani ni salama na hupaswa kufuata kanuni za kiusalama zilizowekwa kwenye makubaliano ya kimkataba kupitia International Civil Aviation Organization(ICAO).usalama wa ndege zao kama ilivyoainishwa na umoja wa ulaya (EU).
weka details somo kwa vipi? siyo wote wanajua cause ya ajali hiyoNianze kwa kuwapa pole wafiwa na majeruhi wote katyika jali ya Azerbaijan airlines iliyotokea jana huko Kazakhastan. Natumaini ni somo tosha kwa ndege pendwa ATC. Isije kuwamwaga watu huko milima ya Uluguru
Nianze kwa kuwapa pole wafiwa na majeruhi wote katyika jali ya Azerbaijan airlines iliyotokea jana huko Kazakhastan. Natumaini ni somo tosha kwa ndege pendwa ATC. Isije kuwamwaga watu huko milima ya Uluguru
Uelewe kwa akili zIpi?Mm hata sijakuelewa. Somo lenyewe ni lipi?
Sasa ATC wajifunze nini wakati tulisha ambiwa hali ya hewa ilibadilika na kuna tetesi kuwa ilishambuliwa?Nianze kwa kuwapa pole wafiwa na majeruhi wote katyika jali ya Azerbaijan airlines iliyotokea jana huko Kazakhastan. Natumaini ni somo tosha kwa ndege pendwa ATC. Isije kuwamwaga watu huko milima ya Uluguru
Ulialikwa Kwa Mwamba Merry Christmas ๐น?weka details somo kwa vipi? siyo wote wanajua cause ya ajali hiyo
Mwamba kagawa bahasha tayari. Kazi kwa Antipas maneno matupu - mkono mtupu haulambwiUlialikwa Kwa Mwamba Merry Christmas ๐น?
Watu wakishakuchoka kinachofuata ni AIBU hata uwe na fedha za kuinunua dunia ๐ผ๐Mwamba kagawa bahasha tayari. Kazi kwa Antipas maneno matupu
Sio TanganyikaWatu wakishakuchoka kinachofuata ni AIBU hata uwe na fedha za kuinunua dunia ๐ผ๐