Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
mpuuzi weweHawa jamaa acha wafe tu michosho sana
mpuuzzi haswaaa😂😂mpuuzi wewe
Ajali huwezi kujua itakupata lini au wapi mkuu?Hawa jamaa acha wafe tu michosho sana
Kweli barabara pana kama ile boda wanagongana!!mpuuzzi haswaaa😂😂
Davoo wa Ngasere yuko sahihiIla hii dunia naona ngasere imepita mwendo wa madoido kabisa kama vile haina fire extinguisher, sio shida zao.
Angetoa msaada ndio ubinadamu.Davoo wa Ngasere yuko sahihi
Ni uzembe umemsikia aliyerekodi anasema walikuwa speed sanaAjali huwezi kujua itakupata lini au wapi mkuu?
HAPANAAngetoa msaada ndio ubinadamu.
Nimeshangazwa sana na hili.Kuzaliwa tz ni michosho sana
Watu hawajui hata kukabiliana na emergency,mwanzo nilidhani ni vijijini huko, sasa hapo misungwi ajali imetokea barabarani magari yamejaa wanazima moto na mchanga na maji kweli? Fire extinguisher kwenye magari ni kuajili ya kuonyesha traffic officers? Mbona magari yapo nilitegemea Kuona mtu anakuja na fire extinguisher
😂😂 kweli we mzee wa kupambania 😂Kweli barabara pana kama ile boda wanagongana!!
Huo ni uzembe uliopitiliza