Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Linapotokea issue kama hiyo hata kama ni professional reporter unatupa camera unaokoa uhai wa mtu kwanza kisha taarifa utajua jinsi ya kuifikisha.Ni mgawanyo wa kazi....isikuume sana.
Kuna wa kuokoa na kuna waandishi wa habari wa kijitegemea.
Kama asingerekodi tusingepata taarifa.