Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duniani kuna watu na viatu! did the world really need Hitler,Bokassa au Nduli Amin?
We need everybody more than ever.
Ajali wapate kunguru, akipata njiwa "we need him."
Apone.
Duniani kuna watu na viatu! did the world really need Hitler,Bokassa au Nduli Amin?
Naamini atakuwa ameshapanda hiyo ndege na ninaamini zaidi kuwa ana uangalizi wa mtu wa karibu sana sana ndani ya ndege ya Serikali!!!! N jicho la ndugu yake huyo liwe halitizami sana pembeni, wala haitwi itwi aache mgonjwa ili kwenda kusikiliza jambo!!!! Kama ni discussion yoyote ifanyike akiwa close to our hero!!!
gurudumu likachomoka? really? isijekuwa kuna mtu alilegeza nati za gurudumu kabla ya safari!!!!!Kwa mujibu wa kamanda wa polisi wa mkoa wa Iringa afande Advocate Nyombi ajali hii imetokea pale gari ya Dr. Mwakyembe ilipokuwa inataka kulipita lori, ambapo gari hilo la mbunge likagonga shimo lililo katikati ya barabara. Baada ya kugonga shimo, gurudumu likachomoka na gari kumshinda dereva, likagonga mti na kupinduka vibaya.
Ajali hii imetokea eneo la Ifunda.
Nawatakia majeruhi afya njema na Mungu awajalie wapone na waendelee na majukumu ya kulijenga taifa.
Pole , Mungu wetu ni mwema!
gurudumu likachomoka? really? isijekuwa kuna mtu alilegeza nati za gurudumu kabla ya safari!!!!!
Inasemekana kuwa dereva wake alikuwa akiovateki (akilipita) lori, lakini kwa bahati mbaya akagonga kwenye shimo lililoko barabarani na kulifanya gari lipinduke mara kadhaa!
Naamini Mungu atamponya! AMEEEEEEEEEN!!!!!
gurudumu likachomoka? really? isijekuwa kuna mtu alilegeza nati za gurudumu kabla ya safari!!!!!