hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 3,553
- 7,334
Wakuu leo kumetokea ajali mbaya sana Bagamoyo.
Mwenye taarifa za uhakika kuhusu ajari hii atujuze.
===
Coaster inayofanya safari zake kutoka Bagamoyo kwenda Morogoro, imepata ajali kwa kugongana na Canter katika kijiji cha Kiwangwa wilayani Bagamoyo asubuhi ya January 8, 2023.
Watu watano wameripotiwa kufariki katika ajali hiyo na wengine 10 wakiwa katika hali mbaya na wanaendelea na matibabu katika hospitali ya wilaya ya Bagamoyo.
Miili ya Marehemu imehifadhiwa katika Hospitali ya wilaya ya Bagamoyo. Aidha watu waliokuwa na majeraha madogo wameruhusiwa kuendelea na shughuli zao.
Mwenye taarifa za uhakika kuhusu ajari hii atujuze.
===
Coaster inayofanya safari zake kutoka Bagamoyo kwenda Morogoro, imepata ajali kwa kugongana na Canter katika kijiji cha Kiwangwa wilayani Bagamoyo asubuhi ya January 8, 2023.
Watu watano wameripotiwa kufariki katika ajali hiyo na wengine 10 wakiwa katika hali mbaya na wanaendelea na matibabu katika hospitali ya wilaya ya Bagamoyo.
Miili ya Marehemu imehifadhiwa katika Hospitali ya wilaya ya Bagamoyo. Aidha watu waliokuwa na majeraha madogo wameruhusiwa kuendelea na shughuli zao.