Ajali ya Lori na Noah yaua watano na kujeruhi wawili Dodoma

Umeona, eh? Mwendo nao haukuwa wa kawaida. Ukiwa barabarani assume watumiaji wengine wa barabara ni vichaa. Na kweli kuna vichaa - kuna walevi, wavuta bangi, madawa ya kulevya, mbuzi, ng'ombe, nk. Endesha kwa mwendo ambao kichaa/mnyama akitokea, basi unaweza simama ama usipoweza simama basi athari zitakuwa siyo kali.
R.I.P...ila hizi noah huwa ziko speed 120 hata maeneo ya speed 30..
Angekuwa hata speed 80 hapo hiyo gari isingekuwa kama can ya coca cola, iliyofinyangwa! Aisee hatari na nusu!

Everyday is Saturday............................ 😎
 
Mungu awapumzishe kwa Amani Ndugu zetu!
 
Poleni sana wafiwa! Ni kweli kabisa maeneo ya Kibaigwa na Chalinze Nyama si salama sana, kwani yamefanywa ni parking ya malori wakati maeneo hayo ni finyu sana.
 
Noah za Moro Dodoma huwa ziko speeed
 
Huyo Mungu mbona hakuwasaidia ajali isitokee ?
Kim jong jr huna makosa Ila nalia sana na hawa moderators na mliki wao wanatakiwa kukufungia hata mwezi kukutia adabu lakini hawajari,I know this is the only place where we dare to talk openly,but not when it comes to GOD.max melo pitisha Sheria if your not a free Mason tell your members to stop judging OUR LIVING GOD asiyetaka aiache jamii forum na Mungu atakubariki
 
Hahaha acha ujinga wewe Jibu kwa hoja ...
 
Ajali Haina kinga lakini sijawahi waza kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine kwa hvyo vigari(Noah). Sioni sababu ya kutumia Noah kutoka moro to dodoma coz mabasi makubwa yapo mengi sana.
 
Ajali Haina kinga lakini sijawahi waza kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine kwa hvyo vigari(Noah). Sioni sababu ya kutumia Noah kutoka moro to dodoma coz mabasi makubwa yapo mengi sana.
Hujawahi kupata dharura?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…