Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado inafanyakazi kumbe!Wana jamvi!; Poleni na MISHE MISHE za siku!
Ndugu yangu Alikuwa aanasafiri Toka mbeya na reli ya Tazara Express kuja Dar!
Alinipa taarifa Kwa simu kwamba wamepata Ajali MLIMBA!; Sijapata Mawasiliiano mengine zaidi.
Mwenye Taarifa Atufahamishe!
Ukitaka ufike kigoma,siku hiyo hakikisha Kadogosa naye anasafiri kwa usafiri huo huoNasoma huu uzi huku nikipakia mizigo yangu inayotoka Kigoma kwenda Dar es salaam 😭😭
Hahaha siku hizi wanadili na SGR zaidi kuliko hawa bibi vizeeUkitaka ufike kigoma,siku hiyo hakikisha Kadogosa naye anasafiri kwa usafiri huo huo
Ikitokea ajari ya SGR hapa mitandao itasimama.Watu wako bizze na SGR, wamesha sahau kuhusu TAZARA.
Bila shaka unamaanisha Chita JKTHapo labda msaada utoke Mfiriga, Lupembe, Njombe.
Ifakara mbali sana.
Ila usihofu, kambi ya JKT Chui ipo karibu.
Lile bus la wabunge,walikuf... Wabunge wangapiIkitokea ajari ya SGR hapa mitandao itasimama.
Nina jamaa ni dereva Tazara ngoja nisubirie awashe simu maana sijampata hewaniWana jamvi!; Poleni na MISHE MISHE za siku!
Ndugu yangu Alikuwa aanasafiri Toka mbeya na reli ya Tazara Express kuja Dar!
Alinipa taarifa Kwa simu kwamba wamepata Ajali MLIMBA!; Sijapata Mawasiliiano mengine zaidi.
Mwenye Taarifa Atufahamishe!
Kwani baada ya kukujulisha fyuzi ilikata! Yeye ndiye shahidi namba moja.Wana jamvi!; Poleni na MISHE MISHE za siku!
Ndugu yangu Alikuwa aanasafiri Toka mbeya na reli ya Tazara Express kuja Dar!
Alinipa taarifa Kwa simu kwamba wamepata Ajali MLIMBA!; Sijapata Mawasiliiano mengine zaidi.
Mwenye Taarifa Atufahamishe!