Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan naomba kukuomba uchukue hatua madhubuti na za makusudi katika kudhibiti ajali za barabarani hapa nchini kwani zimekuwa zikigharimu Maisha ya watanzania. Leo Mbeya, Sengerema , juzi juzi hapa watoto wa shule huko Mtwara.
Ningependa kuona sheria zetu za barabarani zikifanyiwe MAREKEBISHO. Mhe Rais chukua hatua lkn wahusika pia chukueni hatua za kuwajibika.
Ningependa kuona sheria zetu za barabarani zikifanyiwe MAREKEBISHO. Mhe Rais chukua hatua lkn wahusika pia chukueni hatua za kuwajibika.