Kwa utafiti wangu kiasi, kuna uelewa mdogo wa watumiaji wa vyombo vya usafiri wanapokaribia maeneo ambayo gari moshi hupita. Inawezekana baadhi yao hawana elimu ya mvutano wa vyombo vyao vinapokaribia gari moshi.
Lakini pia Taasisi zote zinazohusika ikiwemo jeshi la polisi usalama barabarani, watoe elimu kwa umma (vipindi vya luning) juu ya kinachoweza kutokea vyombo vya moto vinapokaribia treni. Ikiwezekana itumike hata teknolojia ya boom gate kujifunga endapo treni inapita.
Ajali na vifo vya aina hii vinaongezeka sana japokuwa naamini tunaweza kuvipunguza au kuviondoa kabisa.
Lakini pia Taasisi zote zinazohusika ikiwemo jeshi la polisi usalama barabarani, watoe elimu kwa umma (vipindi vya luning) juu ya kinachoweza kutokea vyombo vya moto vinapokaribia treni. Ikiwezekana itumike hata teknolojia ya boom gate kujifunga endapo treni inapita.
Ajali na vifo vya aina hii vinaongezeka sana japokuwa naamini tunaweza kuvipunguza au kuviondoa kabisa.