Ajali ZNZ: Vodacom waanza kugomewa

VODA ni kampuni binafsi! Mbona watu hamuelewi hilo. VODA sio serikali na haina obligation yeyote kuomboleza. Mnataka nchi nzima tubaki nyumbani tulie? Life goes on. VODA inatumia pesa yake kujipa raha, msiingilia uhuru wa watu binafsi kwa madai ni janga la taifa. Je mnawalaumu walionda kwenye hiyo Miss Tanzania? Na mshindi je? Lawama zinaishia wapi?
 

Hapo pekundu ni pumba na mawazo ya miaka ya 60. Kwa nini Rais awe na uwezo wa kusimamisha tamasha binafsi? Je wewe ungekuwa na harusi, ana uwezo wa kusimamisha hiyo pia kwa 'one phone call'? Ivi Miss Tanzania ni tamasha la serikali au ni kampuni binafsi?
 
Pumba 2pu mnao laumu voda ki2 kshatokea na wa2 wameshazkwa 2mewasahau hzo lawama mnataka kuchochea ugomv 2!voda itaendelea kupga kaz kama kawa KAZÍ NI KWAKO 2.mana a2hemi kila saa voda voda voda jaman khaa
 
Pumba 2pu mnao laumu voda ki2 kshatokea na wa2 wameshazkwa 2mewasahau hzo lawama mnataka kuchochea ugomv 2!voda itaendelea kupga kaz kama kawa KAZÍ NI KWAKO 2.mana a2hemi kila saa voda voda voda jaman khaa



i

Hawa wazungu walikuwa taaban kusaidiana na ndugu zetu kutafuta maiti na watu walionusirika




Then VODACOM waliamua kuwa bize kufanya yafuatayoooo



wakati mnahangaika kutafuta Maiti za watoto wenu na ndugu zenu hawa walisema watakaosa pesa na wataingia hasara kubwa so wakaendelea kujirusha kama kawaida
 

Sidhani kama hiyo misaada itakubaliwa mkuu.
 
sasa leo jumatatu wameamka na pombe zishawatoka I can only imagine watakuwa sijui wanajiskiaje

I used to think Mwamvita was more intelligent than her dumb sheep that stalk her
 
Kwani toka lini uliona Tanzania wanaungana kugomea kitu,naona hizo sms ni sawa na kuzidi kunufaisha hayo makampuni ya simu(kumbuka yanakwepa kulipa ushuru)
 
Ni uendawazimu na unafiki wa hali ya juu kulaumu VODACOM PEKEE NA KUONA CCM WALICHOFANYA NI HALALI. Ifikie hatua either ukae kimya au uwalaumu wote CCM na VODA, na voda sio waandaaji, which means ambacho wangeweza kufanya ni kuukana udhamini tu na LUNDENGA mwana CCM angeendelea na shuguli yake.
Mchawi wenu wazanzibari ni ndoa yenu ya CCM na CUF inawafanya mshindwe hata kushinikiza hatua za kisheria au watu wawajibike bt mnasisitiza tu kuwa ni kazi ya Mwenyezi Mungu. Sasa kama ni kazi ya Mwenyezi Mungu kwa nini mnalaumu vodacom???
 


Sidhani kama ni sawa kuwalazimisha

kila mmoja na kampeni yake

leteni majina ya wahusika then kila mmoja achague lake
 
jamani VODACOM VODACOM, Je serikali ya mapinduzi Zanzibar na Jamhuri ya Muungano walichukuliaje hili tatizo tangu lilipotokea saa Saba ? muda gani kamati za ulinzi na usalama zilikutana,Baada ya kuona maiti au baada ya kusikia juu ya ajali,nani alilitaarifu taifa iwe zanzibar au bara na taifa lilitaarifiwa saa ngapi,kupata majibu haya kutatusaidia kujua nani alikuwa serious na janga hili kwa kiwango gani,Haiwezekani Srikali husika na vyama tawala husika ambavyo wateja wake wakuu wanapata mataizo viwe kimya, nasi tuone kawaida Kwa UNAFIKI tunaishikia bango VODACOM kana kwamba VODACOM pekee ndiyo wenye wajibu wa Kujishughurisha na majanga kwani VODACOM ni NGO ya majanga.mpaka leo asubuhu vyombo vyetu vingi vinaendelea na maisha kama kawaida kana kwamba swala la meli kuzama ni nadhalia isiyo na mshiko.TUACHE unafiki ni muhimu tuliangalie swala hili kwa mapana yake.
 
Ukweli hili suala lina utata!! Ila kwa desturi na tamaduni zetu wabongo, walipaswa kucancell! maana ni msimba wa kitaifa!

Nani kasema msiba wa kitaifa. Acha unafiki eti kuleta watanzania mnajaliana, wakati watu wanakufa kwa kukosa chloroquine na watu wanaiba mali za umma, ufisadi unauanchi hilo hamlishupalii, mnashupalia upuuzi.
 
Vodacom are sending out SMS MAAFA to 15599 to contribute 1000TZS and Mpesa any amount from 1000. Watumiaji wa Vodacom mmepokea hiyo SMS?
 
Leo CHADEMA wa JAMII FORUMS mnamtetea ROSTAM na kampuni yake ya VODACOM!!!!!

VODACOM mlikuwa mnalalamika ni kampuni ya FISADI ORIJINO leo imekuwaje?

Kweli FISADI rOSTAM kawashika pabaya
 
<br />
<br />
that's right brother, for me i say it on my mobile when i wanted to get update for my comrade gadafi at aljazeera, then press tv masikini vyombo vyetu hata mwananchi ililalamikiwa ktk comment moja
 
Reactions: Map
Inasikitisha kuona mtu ambaye vijana wengi wanamuamii akianzisha mjadala huu kuhusu vodacom na tukio la ajali la zanzibar na kutaka watu waione vodacom kuwa hawana uchungu na wazanzibar, hivi kampuni hii sio ndio miongoni mwa za mwanzo kabisa kutoa sapoti huko zenj, zitto achana siasa za kitoto kuwa sasa. kama kutoa misaada sio ishu kinachoendelea sasa kwa wahanga wa ajali zanzibar ni nini? hakuna haja ya kuunganisha tukio moja na lingine. lazima ujue kuna wafanyakazi wengi wa vodacom wanaochangia kodi ambazo ndizo hizo unazokula na kutembea na wadogo zetu kule Dodoma. be a positive thinker na acha siasa ucharwa
 
Acheni ushabiki wa kiwivu na kijinga, mbona hamzungumzii chama tawala kutoahirisha uzinduzi wa kampeni zao huko Igunga. Voda wako kwenye business, afterall that is not their target market as the area is dominated by Zantel subscribers.

mie siwashangai, kwani nyote mnawakilisha matakwa ya kibepari. utu hakuna mbele ya pesa. na wote tanzania tukibadilika tukaamini utu mbele ya pesa hakuna, basi tutafikishana pabaya kwa hiyo pesa ilyofanikisha kung'oa imani ya YUDA ESCARIOTE.

POLENI WATANZIA WAZALENDO MNAOPENDA UNDUGU, MUNGU ATATUTIA NGUVU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…