Ajibu anaenda kupotea

mikia kwa kuua vipaji hawajambo..
Vipi mwenyekiti wenu kutopata medali?
Ute mna tabu
 
Hayo mi hayanihusu mnakusanya mataji gani wkt mipango yenu ni kukusanya kuanzia mapnduzi nk lakn mpk sasa moja mmeshapoteza bado FA nayo kigoma hamtoki

Endeleen kutelembwende tu View attachment 1859041
Sasa kombe la mapinduzi linaipeleka timu kwenye michuano ipi ya kamataifa?
Sisi tunabeba mataji yenye tija kwa timu,tushaanza na VPL kisha tunamalizia Kigoma kwa mzee Kaduguda,Kigoma sio darby ya ligi ni darby ya final hapo ndo mtajua kama Simba ni Simba na Swala ni Swala lazima mliwe.
 
Kiburi cha ajibu kwani kiko wapi?? na uungwana wa akina sheva uko wapi??? tuanzie hapo kwanza
Angeenda kuchukua medali na wenzake ,Ajibu msimu huu kacheza mda mwingi kuliko Sheva lakini Sheva hakuona sababu ya kuzira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…