OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hivi kama kuna wachezaji wanacheza vizuri kuliko wewe unataka kocha akusaidie nini. huu mchezo upo wazi Ajib kapewa nafasi hakuna cha maana alichofanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri wenu utelembwe huwa mnasahau kauli zenu na za yule paka manara kila mnapoanza msimu huwa mnatangaza hakuna timu ya kuwafunga na makombe matatu yote mnabeba yaan ligi kuu, mapinduzi na FA eti leo kukosa mapnduz imekuwa halina maana mbumbu bhana da utelembweSasa kombe la mapinduzi linaipeleka timu kwenye michuano ipi ya kamataifa?
Sisi tunabeba mataji yenye tija kwa timu,tushaanza na VPL kisha tunamalizia Kigoma kwa mzee Kaduguda,Kigoma sio darby ya ligi ni darby ya final hapo ndo mtajua kama Simba ni Simba na Swala ni Swala lazima mliwe.
Sidhani kama io itakuwa sababu ya moja kwa moja ya kumlaumu na kumuona kama yupo na kiburi. Kwanza tutambue Ajibu ni mwanadamu kwaio uenda yupo na sababu iliyo nje na uwezo wake. Ninachokijua mchezaji yeyote duniani taji au makombe ndio inakuza zaidi profile no matter ulishirika kucheza kwa ukubwa gani lakini ile siku unakabidhiwa zawadi furaha inajengeka pale.Angeenda kuchukua medali na wenzake ,Ajibu msimu huu kacheza mda mwingi kuliko Sheva lakini Sheva hakuona sababu ya kuzira
Nimrsoma yoote lakini No.9 hapana.
Mimi ni dume na nimepata habari kuwa wewe ni junya hivyo nataka nikubokoe
Haya lete ukweli na kama ni uwongo mahakama zpo nendeni sasaNimrsoma yoote lakini No.9 hapana.
Na wewe toka ufumuliwe marinda unachonga saana,lazima na mimi nikubokoeMkuu mwacheni huyo kwani humjui, Ni Bi Hindu nadhani swali lako limepata jibu.
Hawa viumbe ndiyo maana GSM anawageuza geuza kama chapatiSasa kombe la mapinduzi linaipeleka timu kwenye michuano ipi ya kamataifa?
Sisi tunabeba mataji yenye tija kwa timu,tushaanza na VPL kisha tunamalizia Kigoma kwa mzee Kaduguda,Kigoma sio darby ya ligi ni darby ya final hapo ndo mtajua kama Simba ni Simba na Swala ni Swala lazima mliwe.
Zamani nilikuwa najua watu waliopo JF ni wanauelewa mkubwa lakini kumbe sio ukweli.basi wahuni akina Hans Pope washampiga kweli akafie mbele huko...