Hana bahati ama ajitambui, tatizo la ajibu ni ajibu mwenyewe kutokujitambua, sina uhakika kama ana kipaji zaidi ya chama lakini si mchezaji wa kuendelee kucheza ligi ya nyumbani na wala haoneshi dalili, uchungu wala tamaa ya kufika huko, kifupi karidhika.
Kipaji pekee hakitoshi kukufikisha mahala fulani kwa kipaji binafsi cr7 si tu hapaswi kukaa meza moja messi ila pia ameachwa na wachezaji kibao, cr7 pale alipo kajiongeza saana, anq juhudi, ana njaa ya mafanikio, anafanya kila awezalo awe juu, hvyo vitu havijaja kwa bahati nasibu mtizame ricardo quaresma wa leo na quaresma yule wa porto ile.
Ajibu mbaya wake wa kwanza ni yeye, mbya wake wa pili ni watu wanaomzunguruka, mbaya wake wa 3 ni yeye mwenyewe.
Mimi nimeshangazwa kuskia gadiel kaenda kufanya majaribio nje halafu ajiby yupo anagomea mechi.
Sent using
Jamii Forums mobile app