Ajibu ni mchezaji asiye na Bahati

Ajibu ni mchezaji asiye na Bahati

Hana bahati ama ajitambui, tatizo la ajibu ni ajibu mwenyewe kutokujitambua, sina uhakika kama ana kipaji zaidi ya chama lakini si mchezaji wa kuendelee kucheza ligi ya nyumbani na wala haoneshi dalili, uchungu wala tamaa ya kufika huko, kifupi karidhika.

Kipaji pekee hakitoshi kukufikisha mahala fulani kwa kipaji binafsi cr7 si tu hapaswi kukaa meza moja messi ila pia ameachwa na wachezaji kibao, cr7 pale alipo kajiongeza saana, anq juhudi, ana njaa ya mafanikio, anafanya kila awezalo awe juu, hvyo vitu havijaja kwa bahati nasibu mtizame ricardo quaresma wa leo na quaresma yule wa porto ile.

Ajibu mbaya wake wa kwanza ni yeye, mbya wake wa pili ni watu wanaomzunguruka, mbaya wake wa 3 ni yeye mwenyewe.
Mimi nimeshangazwa kuskia gadiel kaenda kufanya majaribio nje halafu ajiby yupo anagomea mechi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana bahati ama ajitambui, tatizo la ajibu ni ajibu mwenyewe kutokujitambua, sina uhakika kama ana kipaji zaidi ya chama lakini si mchezaji wa kuendelee kucheza ligi ya nyumbani na wala haoneshi dalili, uchungu wala tamaa ya kufika huko, kifupi karidhika.

Kipaji pekee hakitoshi kukufikisha mahala fulani kwa kipaji binafsi cr7 si tu hapaswi kukaa meza moja messi ila pia ameachwa na wachezaji kibao, cr7 pale alipo kajiongeza saana, anq juhudi, ana njaa ya mafanikio, anafanya kila awezalo awe juu, hvyo vitu havijaja kwa bahati nasibu mtizame ricardo quaresma wa leo na quaresma yule wa porto ile.

Ajibu mbaya wake wa kwanza ni yeye, mbya wake wa pili ni watu wanaomzunguruka, mbaya wake wa 3 ni yeye mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Gadiel eti kamzid mipango Ajibu
 
ajibu ana kibri cha akili ndogo, jamaa mpira anaujua ila ujinga nao haujamwacha salama.
 
Maisha ya mpira Ni mafupi Sana mwacheni apige hela kwa kipindi hiki kifupi kumbuka Mpira yeye Ni kazi yake sisi mashabiki acha tushabikie tuu ila ukweli pia tuuseme tusilaumu laumu Kila kitu hivi hapa Nani anaweza akafanya kazi akapata mshahara wa mashaka Shaka na usiokua na marupurupu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajidanya ,labda hujui ngasa,erasto,boko ,okwi nk,wamevumilia sana.
 
Ibrahimu Ajibu!
Huyu ni mchezaji mwenye kipaji sana. Nikiri wazi namkubali sana. Huyu jamaa anamatatizo sana tena sijui ndo tuite nuksi,

Anatatizo kubwa la pupa, mfano wakati yanga wapo vizuri aliwapupia ,sasa simba wapo vizuri anawapupia mno amesahau walivyompuuza.
Ukweli ni kuwa hana uvumilivu yeye hana profile kubwa kumshinda Tshishimbi hata mrisho ngasa,sasa anajiona star, wa mechi za njombe mji.

Ni mchezaji wa kipindi kimoja na kiwango chache hakitulii yaani anashindwa hata na Paul Godfrey, japo ni bora kuliko Chama. Na hii sijui inasababishwa na nini sijui kocha anamtumia vibaya. Na hii nadhani ndo inamchelewesha hata kuitwa timu ya taifa, japo naamini kama ataendelea kuwagomea yanga kucheza hataitwa maana haonekani ,Na bado miezi miwili African ianze.

Namshauri!

Avumilie Yanga hakuna njaa tena msimu ujao, Wanayanga huwa hawezi kuvumilia shida ni watata mno na wana watu wazito na wenye pesa kuliko club yoyote Tanzania.Yaani anapisha na kapo la hela yaani kila wakati yeye hupishana na noti,maana sasa hivi wanamsajili kama hisani(kumuokoa).

Pili,Ajitambue vinginevyo atacheza mpira kwa muda mfupi sana maana kiwango hupungua kama huchezi.

Tatu, Ajitahidi kupata meneja mzuri nae akajaribu soka nje,naona ndani atasumbuka maana nasikia tetesi kuwa kocha hakuwa amempendekeza Bali naskia Mo na Manara wanampenda sana.

Nne, ajaribu kuwa konga nyoyo washabiki yaani ajijengee fans base kubwa,naamini niyonzima anapendwa sana na wanayanga kuliko Ajibu japo yupo simba, pia Mohamed zimbwe anapendwa na wasimba kuliko Pascal wawa. Hii husaidia kumlinda mchezaji pindi kiwango kinaposhuka.

5. Namtakia kila la heri ,Fundi huyu na ball dancer mzawa.

Note:Sio lazima apokee ushauri

Nawasilisha.
Ajibu ndyo Nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpira ni zaidi ya kipaji....Ajibu Hana nidhamu. ..ni Sawa na Mkude tu..Samatta na Ulimwengu walianza kuendesha Range rover wakiwa TP Mazembe. ..sio lazima kwenda Ulaya
 
Hana bahati ama ajitambui, tatizo la ajibu ni ajibu mwenyewe kutokujitambua, sina uhakika kama ana kipaji zaidi ya chama lakini si mchezaji wa kuendelee kucheza ligi ya nyumbani na wala haoneshi dalili, uchungu wala tamaa ya kufika huko, kifupi karidhika.

Kipaji pekee hakitoshi kukufikisha mahala fulani kwa kipaji binafsi cr7 si tu hapaswi kukaa meza moja messi ila pia ameachwa na wachezaji kibao, cr7 pale alipo kajiongeza saana, anq juhudi, ana njaa ya mafanikio, anafanya kila awezalo awe juu, hvyo vitu havijaja kwa bahati nasibu mtizame ricardo quaresma wa leo na quaresma yule wa porto ile.

Ajibu mbaya wake wa kwanza ni yeye, mbya wake wa pili ni watu wanaomzunguruka, mbaya wake wa 3 ni yeye mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha 2007/2008 nilikua natafuta mechi za porto kumuona fundi Ricardo Quaresma tu. Yeye na Rui Costa watabaki kuwa wareno nilikua navutiwa nao zaidi kuwaona dimbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga wewe Ajib anatafuta maisha...mpira ni kazi...unataka akae yanga kufanya nini mshahara hajalipwi? We una akili kweli?unadhan ameenda yanga akauze mahindi? Mpira pesa mwache aende ambako atakula ,kunya na kuvaa bila waswas. Wewe shabiki endelea kushabikia.

Ajib anaipenda simba na ndo maana hat siku ile anasajiliwa yanga hakuwa na furaha...aliondoka kwa zengwe tu la kipindi kile sababu hawakutaka kumwongezea mshahara wale wahuni waliokuwepo that time.

Sasa anaona home kumenoga uhakika wa kwenda choo upo na kufanya maisha au kuonekana mechi za kimataifa upo.why abakk yanga?unadhani na yeye hana akili kama wewe?


Ibrahimu Ajibu!
Huyu ni mchezaji mwenye kipaji sana. Nikiri wazi namkubali sana. Huyu jamaa anamatatizo sana tena sijui ndo tuite nuksi,

Anatatizo kubwa la pupa, mfano wakati yanga wapo vizuri aliwapupia ,sasa simba wapo vizuri anawapupia mno amesahau walivyompuuza.
Ukweli ni kuwa hana uvumilivu yeye hana profile kubwa kumshinda Tshishimbi hata mrisho ngasa,sasa anajiona star, wa mechi za njombe mji.

Ni mchezaji wa kipindi kimoja na kiwango chache hakitulii yaani anashindwa hata na Paul Godfrey, japo ni bora kuliko Chama. Na hii sijui inasababishwa na nini sijui kocha anamtumia vibaya. Na hii nadhani ndo inamchelewesha hata kuitwa timu ya taifa, japo naamini kama ataendelea kuwagomea yanga kucheza hataitwa maana haonekani ,Na bado miezi miwili African ianze.

Namshauri!

Avumilie Yanga hakuna njaa tena msimu ujao, Wanayanga huwa hawezi kuvumilia shida ni watata mno na wana watu wazito na wenye pesa kuliko club yoyote Tanzania.Yaani anapisha na kapo la hela yaani kila wakati yeye hupishana na noti,maana sasa hivi wanamsajili kama hisani(kumuokoa).

Pili,Ajitambue vinginevyo atacheza mpira kwa muda mfupi sana maana kiwango hupungua kama huchezi.

Tatu, Ajitahidi kupata meneja mzuri nae akajaribu soka nje,naona ndani atasumbuka maana nasikia tetesi kuwa kocha hakuwa amempendekeza Bali naskia Mo na Manara wanampenda sana.

Nne, ajaribu kuwa konga nyoyo washabiki yaani ajijengee fans base kubwa,naamini niyonzima anapendwa sana na wanayanga kuliko Ajibu japo yupo simba, pia Mohamed zimbwe anapendwa na wasimba kuliko Pascal wawa. Hii husaidia kumlinda mchezaji pindi kiwango kinaposhuka.

5. Namtakia kila la heri ,Fundi huyu na ball dancer mzawa.

Note:Sio lazima apokee ushauri

Nawasilisha.
 
Ni bora akae benchi akipwe pesa zake kuliko kucheza yanga halafu halipwi na anaishia kula mahindi na ice cream tu baada ya mechi.njaa isikie kwa wenzio.mwachen akatengeneze pesa msimdanganye kijana wa watu.hapendwi mtu...pesa tu.

Ajibu simba anaenda kukaa benchi hadi asahaulike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga wewe Ajib anatafuta maisha...mpira ni kazi...unataka akae yanga kufanya nini mshahara hajalipwi? We una akili kweli?unadhan ameenda yanga akauze mahindi? Mpira pesa mwache aende ambako atakula ,kunya na kuvaa bila waswas. Wewe shabiki endelea kushabikia.

Ajib anaipenda simba na ndo maana hat siku ile anasajiliwa yanga hakuwa na furaha...aliondoka kwa zengwe tu la kipindi kile sababu hawakutaka kumwongezea mshahara wale wahuni waliokuwepo that time.

Sasa anaona home kumenoga uhakika wa kwenda choo upo na kufanya maisha au kuonekana mechi za kimataifa upo.why abakk yanga?unadhani na yeye hana akili kama wewe?
Kila mchezaji anataka pesa ili kuendesha maisha yake Ila tunachomlaumu Ajibu ni kuwa yeye ni mchezaji mzuri na mwenye kipaji Ila hajitambui kma angejitambua Sshv angekuwa anacheza ulaya kwa kipaji chake, tatizo kipaji chake kinampa jeuri hafanyi vile anavyotakiwa afanye, mfano samata alijijua kuwa yy Ana kipaji akaongeza juhudi Leo tunaona anachofanya, Ajifunze kwa wenzake Akina Farid Musa, chilunda, tiba John aliyekuwa singida, shemeji yake ally kiba, na wengineo.
Kipaji bila nidhamu ni Sawa na sufuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ndugu chama ana mpira gani ni star wa mechi ndogo. Kuhusu magoli anayofunga hata bibi take zahera hakosi
Kwa akili yako mechi ya lipuli na ndanda no kubwa kuliko mechi ya nkana na as Vita chama anachezea timu ya taifa huyo ajibu wenu hata timu ya taifa hafikiriwi tangia amekuja yanga ni mechi gani kubwa ameng'aa zaidi ya kuwa nyota wa magazetini
 
Ni bora akae benchi akipwe pesa zake kuliko kucheza yanga halafu halipwi na anaishia kula mahindi na ice cream tu baada ya mechi.njaa isikie kwa wenzio.mwachen akatengeneze pesa msimdanganye kijana wa watu.hapendwi mtu...pesa tu.
Hujui unachongea
 
Kwa akili yako mechi ya lipuli na ndanda no kubwa kuliko mechi ya nkana na as Vita chama anachezea timu ya taifa huyo ajibu wenu hata timu ya taifa hafikiriwi tangia amekuja yanga ni mechi gani kubwa ameng'aa zaidi ya kuwa nyota wa magazetini
Unaweza kuitwa timu na ukawa mbovu kama Thomas Ulimwengu
 
Kila mchezaji anataka pesa ili kuendesha maisha yake Ila tunachomlaumu Ajibu ni kuwa yeye ni mchezaji mzuri na mwenye kipaji Ila hajitambui kma angejitambua Sshv angekuwa anacheza ulaya kwa kipaji chake, tatizo kipaji chake kinampa jeuri hafanyi vile anavyotakiwa afanye, mfano samata alijijua kuwa yy Ana kipaji akaongeza juhudi Leo tunaona anachofanya, Ajifunze kwa wenzake Akina Farid Musa, chilunda, tiba John aliyekuwa singida, shemeji yake ally kiba, na wengineo.
Kipaji bila nidhamu ni Sawa na sufuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan huo ndo ukwel
 
Mpira ni zaidi ya kipaji....Ajibu Hana nidhamu. ..ni Sawa na Mkude tu..Samatta na Ulimwengu walianza kuendesha Range rover wakiwa TP Mazembe. ..sio lazima kwenda Ulaya
Hakika
 
Back
Top Bottom