Ajira-Arusha,Moshi.

Ajira-Arusha,Moshi.

Faru dume

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
471
Reaction score
116
Poleni ndugu zangu,napenda kuchukua fulsa hii kuwaomba walimu wenzangu wanaotarajia kuajiliwa mwakani ambao wapo tempo katika shule binafsi waniiunganishe na waajili wao ili nami nipate chochote mpaka pale nitakapo rudia suplimentary yangu.
Masomo ninayofundisha ni Geography na History nimesoma diploma.
Ningependa ajira yangu itoke maeneo ya Moshi au Arusha,namba zangu ni 0713619176,ni text tu nitakupgia wandugu asanteni.
 
Acha ualimu kama bado hujawa mwalim!!!! maana haya maisha ya ualim niyaki.puuzi sana! nafikiria kuacha kazi
 
Acha ualimu kama bado hujawa mwalim!!!! maana haya maisha ya ualim niyaki.puuzi sana! nafikiria kuacha kazi



Ualimu ni kazi nzuri tu ukielewa namna ya kutumia mazingira utakayokutana nayo ....kama ni kazi unayoipenda na ukijiamini utafanikiwa tu.
 
Back
Top Bottom