MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Viongozi nchi zetu hizi wanafaa walione hili na kuja na sera kwa kasi za kubuni ajira, viwanda vijengwe kwa kasi maana hii ni bomu ya muda tu, yaani vijana 30,000 Tanzania walisukumana kwa vifua kufuata nafasi 400.
Hili tatizo lipo hata Kenya, hususan wakati wa kusaili jeshini.
Baadhi ya Wataalam mbalimbali wakihangaika kutaka kusoma majina yao kabla ya kuanza kufanya usaili wa TRA jijini Dar es Salaam.
Waziri asikitishwa usaili wa TRA | East Africa Television
Hili tatizo lipo hata Kenya, hususan wakati wa kusaili jeshini.
Baadhi ya Wataalam mbalimbali wakihangaika kutaka kusoma majina yao kabla ya kuanza kufanya usaili wa TRA jijini Dar es Salaam.
Waziri asikitishwa usaili wa TRA | East Africa Television