bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Kweli,hapo wapo watu kibaaoooo wana kazi zao,wamependa TRA wewe.Kabla huja kwenda mojakwamoja kwenye suala la uhaba wa Ajira
kwanza angalia Aina hii ya Ajira
TRA
Utakuta wengi hapo wamevutiwa na TRA nasio vinginevyo
na katika wingi huo wamo walio na Ajira zingine
lakini kwa kuwa kasikia TRA basi kaona ajitupe huko
Nakumbuka yule mbunge sijui mhindi/mwarabu wa jimbo 1 kule Manyara wakati anatuomba "kazi" ya ubunge wakina chege&temba wakawa wanapiga push up pale jukwaani ye kupiga 2 akashindwa hoi kunyanyuka hawezi,ni ubwege tu kuja kutuomba ajira wananchi wkt push up hawezi.Ubwegenazi mkubwa sana huo, badala ya kutafuta mishe zingine unang'ang'ana na kuomba ajira za watu maelfu.
Ngw'ana Kabula
Kuna kazi hapa tz wakitoa nafasi utaona utitiri wa watu wakijazana kweli kweli! Nazo ni TRA, Uhamiaji, Bandari, na jeshi!Viongozi nchi zetu hizi wanafaa walione hili na kuja na sera kwa kasi za kubuni ajira, viwanda vijengwe kwa kasi maana hii ni bomu ya muda tu, yaani vijana 30,000 Tanzania walisukumana kwa vifua kufuata nafasi 400.
Hili tatizo lipo hata Kenya, hususan wakati wa kusaili jeshini.
Baadhi ya Wataalam mbalimbali wakihangaika kutaka kusoma majina yao kabla ya kuanza kufanya usaili wa TRA jijini Dar es Salaam.
Waziri asikitishwa usaili wa TRA | East Africa Television
Kuna kazi hapa tz wakitoa nafasi utaona utitiri wa watu wakijazana kweli kweli! Nazo ni TRA, Uhamiaji, Bandari, na jeshi!
Kada nyingine huoni msururu wa namna hiyo! Mpaka sasa zinatolewa nafasi mbali mbali, lakini huko kwingine hawajai kiivyo!
Hata hivyo sikufurahia utaratibu waliotumia kwenye hili zoezi! Kwa nafasi chache kama hz, hakuna haja ya kuita watu wengi kiasi hicho! Yaani nafasi moja iwaniwe na watu kama 75 hv! hii sio fair hata kidogo!
Taasisi nyingine pia zinavutia, ndiyo tena sana tu! Na tena zipo kada zenye mtonyo mzuri na wa maana kuliko hata huo wa TRA. Shida kubwa iko miongoni wa hawa wasomi wetu, tangu awali mtu anakuwa na wazo kuwa anataka tu kukaa kwenye kiyoyozi mda wote! Mfano, sidhani kama mpunga wa TRA unazidi ule ulioko kwenye mafuta na gesi au madini! Lakini huko hukuti utitiri kama huu!Hilo bado ni tatizo, ina maana taasisi nyingine zote hazina tija hadi nyote mnataka mng'ang'anie TRA na uhamiaji. Japo ni kweli TRA huwatoa wengi, nina madogo washkaji fulani hapo makao makuu TRA wanaendesha magari mazuri. Lakini hata hivyo inafaa muhakikishe na taasisi zingine zinavutia.
Ngoja mafuta na gesi watangaze kazi uone hilo nyomi.. Ukweli ni kwamba wasomi ambao hawana kazi wamekuwa wengi mtaani thats why.. Nakuhakikishia ata wakitangaza kazi za ualimu the same nyomi litatokeaTaasisi nyingine pia zinavutia, ndiyo tena sana tu! Na tena zipo kada zenye mtonyo mzuri na wa maana kuliko hata huo wa TRA. Shida kubwa iko miongoni wa hawa wasomi wetu, tangu awali mtu anakuwa na wazo kuwa anataka tu kukaa kwenye kiyoyozi mda wote! Mfano, sidhani kama mpunga wa TRA unazidi ule ulioko kwenye mafuta na gesi au madini! Lakini huko hukuti utitiri kama huu!
Nadhani TRA watu wanaomba wengi kutokana na sifa za watu wanaotakiwa! Kule wanahitajika watu wamesoma uhasibu, biashara and the likes!
Kwa kawaida masomo haya yanasomwa na watu wengi sana, kuna utitiri wa vyuo kuanzia vile vya astashahada, stashahada na shahada! Kwa hiyo kunakuwa na watu wengi wenye hiyo taaluma!
Ukija uhamiaji unakuta wanachukua watu wa kada tofauti, ni lazima watu wanakuwa wengi, halafu kazi zenyewe sio za kuumiza akili, hata masomo pia sio ya kuumiza kichwa sana!
Nyomi kwa walimu halijawahi kupungua, maana kila mwaka graduates ni wengi sana kwa ngazi zote!Ngoja mafuta na gesi watangaze kazi uone hilo nyomi.. Ukweli ni kwamba wasomi ambao hawana kazi wamekuwa wengi mtaani thats why.. Nakuhakikishia ata wakitangaza kazi za ualimu the same nyomi litatokea