Ajira jeshi la polisi Tanzania

Ajira jeshi la polisi Tanzania

Xiuying

Member
Joined
Mar 19, 2017
Posts
40
Reaction score
17
Nawasogezea hii vijana ,
Mpya kabisa . kila la kheri

IMG_20230720_165717_822.jpg
IMG_20230720_165723_506.jpg
 
Hivi hii kupitia JKT ni wote wa mujibu na kujitolea ama kujitolea pekee!?
 
Sio kweli......nna wadau wengi tu Baada ya kumaliza chuo wameenda upolisi.....magereza Kwa kutumia cheti Cha mujibu

Labda ugumu ni kwenda jwtz Kwa chet Cha mujibu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hapo baada ya kuomba kuna usaili, vipi usaili wao sio kisanga sana kupita!
 
Pale mwanzoni na mwishoni mwa tangazo sijaona neno "IMEZUILIWA". Matangazo yote ya kijeshi huwa yana kawaida ya kuanza na neno hilo. I
 
Nina miaka 21 tu. Pale kwenye Leaving Certificate hatukupewa shule labda niweke cheti cha form four
Nenda shuleni uliko malizia omba wakuandikie barua ya utambulisho wakugongee mhuri.ambatanisha na document zako.usipuuze dogo utakuja kunishukiru baadae ninao ushuhuda.
 
Back
Top Bottom