comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,950
License to kill
Eeeh Mungu eeee aah hiyo mbaya sana kama ni hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
License to kill
Swali la msingi, katika watu mil 50 watakuonaje wewe ambaye uko sumbawanga vijijini!!?na fanya mazoezi ya ku kujenga kimwili, kiakili na kisaikolojia....JAMAA watakuja kukufuata nyumbani kwako.
Kwani wanafanya nini hadi wamwogope mungu
Funguka mkuu usibaki na dukuduku la moyoniKumbe!!!!!!!! daaah
Funguka mkuu usibaki na dukuduku la moyoni
Hata sungura alipokosa zile ndizi aliziponda kuwa ni mbichi
Shukrani kwa kunielimisha, kiswahili ni lugha ngumu aisee!Kusubili=Kusubiri
kuajili=Kuajiri
Shukrani kwa kunielimisha, kiswahili ni lugha ngumu aisee!
iyo kaz hapana mkuu,we ishia kuchek movie ova
Mambo yakufanyana machizi mtaani we unaona ndo life?
We live to attain happines over
Wapo ulipo wakikuhitaji wanakuchukuaSwali la msingi, katika watu mil 50 watakuonaje wewe ambaye uko sumbawanga vijijini!!?
Niunganishe nao mzee wa kitengoWapo ulipo wakikuhitaji wanakuchukua
Sasa hivyo utaweza kweli endelea na kilimo jamaangu kinalipa
Mahasimu wakikubana tu mbupu kidogo si unataja siri zote wewe
AaaaaaahNiunganishe nao mzee wa kitengo
Ni kazi ya viherehere kama ilivyo kwa waandishi wa habari.Sijui kwanini watu hua wanaitamani hii kazi
Mimi hata dau liwe bilions of money asee siiwez
ili uishi vizuri lazima uwe happy seemu zote
Sasa maisha ya kuwa kazini muda wote huta ukiwa unagegeda hujiamini na hamuaminiani mambo gani
Ni kazi inayoendeshwa kwa uzalendo wa hali ya juu si kitoto
Hii kazi hapana
Aisee kumbe wakiwa huko jeshini kwenu wanapataga hiyo kazi???Ni kazi ya viherehere kama ilivyo kwa waandishi wa habari.
Raha ya kazi hii uipate ukiwa jeshini ( tpdf) .
Wengi mno. Utamjuaje adui bila military intelligence?Aisee kumbe wakiwa huko jeshini kwenu wanapataga hiyo kazi???
Asante mkuu kwa elimu yako ujue sisi raia hatujui mambo yenu huko jeshiniWengi mno. Utamjuaje adui bila military intelligence?
Huna tofauti na zinjathroupasElimu
Elimu
Elimu