AJIRA KWENYE SEKTA YA VIUMBE MAJI

AJIRA KWENYE SEKTA YA VIUMBE MAJI

Eddyllian

New Member
Joined
Mar 26, 2014
Posts
3
Reaction score
2
Ni muhitim wa chuo kikuuu cha dar es salaam 2019 kwa shahada ya aquatic science and fisheries technology...napenda kuwataarifu wadau wote wa samaki au viumbe maji kuwa napatikana bure kuja kujumuika nawe angalau kuja kupata experience labda kama kaz yangu ikikupendeza tunaweza jadili yajayo
Ahsanten sana
Mawasiliano: 0757308138
Email: mabombae@gmail.com
 
Poa sana Mwana,Mwanzo mgumu lakini baadae wateja watakupangia foleni.
 
Back
Top Bottom