Jamani naombeni mnijuze kuna mdau mmoja kaniambia eti ajira kwa walimu wote ni mwez wa nne? Je mna taarifa hiyo.
Hapana,ni mwezi wa nane..endelea kuwa mvumilivu.
Jamani naombeni mnijuze kuna mdau mmoja kaniambia eti ajira kwa walimu wote ni mwez wa nne? Je mna taarifa hiyo.
Walimu wote!??? ina maana na sie tulioko kwenye ajira tutaajiliwa tena!???