Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utata Umegubika Ajira Za Walimu 2013 Zilizosemwa Kutangazwa Januari Kama Rais Kikwete Alipoudanganya Umati Huko Kigoma Ktk Uwanja Wa Barafu Pia Waziri Mlugo Nae Akatoa Tamko Kuwa Ni Januari! Wote Hawa Wamelidanganya Taifa.Tuwe Macho Ktk Uchaguzi 2015.
utata umegubika ajira za walimu 2013 zilizosemwa kutangazwa januari kama rais kikwete alipoudanganya umati huko kigoma ktk uwanja wa barafu pia waziri mlugo nae akatoa tamko kuwa ni januari! Wote hawa wamelidanganya taifa.tuwe macho ktk uchaguzi 2015.
vuta subira
bora serikal wangekuwa waz, coz watu wameacha kaz sehem mbalimbal private schools wakiwa na matumain ya ajira za serikali.
Utata Umegubika Ajira Za Walimu 2013 Zilizosemwa Kutangazwa Januari Kama Rais Kikwete Alipoudanganya Umati Huko Kigoma Ktk Uwanja Wa Barafu Pia Waziri Mlugo Nae Akatoa Tamko Kuwa Ni Januari! Wote Hawa Wamelidanganya Taifa.Tuwe Macho Ktk Uchaguzi 2015.
Mbona kuna mtu kanipigia leo na kuniambia kuwa post elimu (ajira) zimetangazwa leo? Cha ajabu ukijaribu W.Elimu inagoma na kuleta msg kuwa ipo suspended. Kama kuna mwenye taarifa zaidi atujuze na kutupa link