45000*7,nauli *2
niliambiwa kwa mikoa ambayo mazingira ya kufanyia kazi walimu wapya upewa kianzia maisha cha Tsh 400000 na kidogo, kwa mikoa yenye mazingira magumu ya kufanyia kazi {mikoa ya pembezoni; mtwara, lindi,ruvuma, kigoma, rukwa,katavi} kianzia maisha ni zaidi ya Tsh 600000
Nani ka tafsiri mazingira magumu? Posho hutegemea na hadhi YA halmashauri Jiji kiwango cha juu ikifatiwa na manispaa AFU na Halmashauri. Ila Huwa wanatoa flat rate YA 45,0000 per day times 7 days
Vuteni subira walimu msikate tamaa.
Nani aliyekuambia au unadanganya wenzako tu..... Waalimu vuten subira ajira zitatoka mwezi wa nne kuripot wa tano
Haya tuambiee ww unaejua basi...
Mbona unaenda chaka swali jepesi kabisa??
Mtu kauliza mambo mengine we unajibu vingine
Duuh.....
ajira imetoka
ajira imetoka
Ha ha ha ha ha kitu cha Pragmatics, pale mtu anapo-violate maxim of Relation. Unamkumbuka Dr.Keya?
Ha ha ha ha ha kitu cha Pragmatics, pale mtu anapo-violate maxim of Relation. Unamkumbuka Dr.Keya?
nimeajiriwa 1april 2014 Simanjiro kwa ngazi ya bachelol tulipewa 45000 kwa siku x7. dep ilikua pungufu yet na primary walipata ndgo kabisa. Tahadhali: kuna halmashauri hawatoi pesa zote. wanatoa za sku mbli hadi NNE then inayobaki mtawadai