Ajira mpya za walimu soon

Wale mlioko vyuoni mjiandae kutuma maombi utumishi au halmashauri, ajira za mkupuo mwisho wake ni kwa graduate wa 2014.,,
 
kuna mama afisa elimu msingi kaniambia jana kuwa wameambiwa waanze kuandaa mazingira.walimu ajira mpya wanaripoti 1.5.2015. karibuni utumishi wa umma! sisi tumeshakuwa wazoefu!

hv kwel et?
 
acha ubishi hakuna ajira Mwaka huu,we unadhani waziri nyalandu alivyolopoka alipitiwa?

Wewe unaroho mbaya kwann unawatisha wenzio kwa taarifa za mtaani? Nyalandu yeye alikuwa anataka kujua kama hawa wanavyotaka kujua kwani w angapi mwakajana walinena kama unavyonena na ikawa ndivyo sivyo? Nchi hii inaongozwa kwa misingi ya demokrasia hivyo iko wazi kama ajira hazipo ingewekwa wazi.Ondoa fikra duni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…