chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Habari iwafikie wahusika; Naomba Msipaniki..
==========
View attachment 247476
Tamisemi wafuta majina ya walimu wa sanaa na biashara kwa ajili ya marekebisho
wameanzaaa, nshaprint apa wacntanie, heshma ako mwalim chichimizi
Tamisemi wafuta majina ya walimu wa sanaa na biashara kwa ajili ya marekebisho
Walisahau kupost majina ya wahitim wa chuo changu; Sebastian Kolowa Memorial University (SEKOMU) ndo nikawaambiwa warekebishe haraka sana!
kwel bhana wamefuta ajira zote za walimu wa sekondari shahada na stashahada kwa walimu wa masomo yoe biashara,sayansi na sanaa
Hapo ndo ujue kuwa SEKOMU ni baba lao! Kesho tu majina yetu yanakuwa hewani!
Kingekuwa chuo kingine hapo wangesugua bench mwezi mzima! Waulizeni St. John mwaka jana walikaa mda gan
Chichimizi uko active kinoma
Babaaaaa mm nashukuru tu maaaaana kwenye swala la habari duuuu nipo safi
Mpaka sasa hivi bado peupeeeee