Ajira mpya za walimu

KAUPEPO SAUFA

New Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
3
Reaction score
0
Hatimaye serikali imetangaza ajira za walimu zipatazo elfu 36 na point kadhaa, ambapo walimu watapangiwa vituo vyao vya kazi muda si mrefu.
 
Rudi njia kuu, habari hii inathread tayari.
 
Wanazinguaaa haoo jamaaa si tushakuwa mateja wala si mwalimu tenaaaa
 
Ni kweli hata mi nimesikia kwenye gazeti la uhuru
 
Poleni na fani wito, mkienda vituo vyenu vya msisahau vibatari maana chaka mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…