Ajira mpya za walimu

Kama sisi Ajira aprily 1 wanaomaliza mwaka huu 2014mwakani 2015wajipange wataenda vituoni mwezi wa 5
 
Hatimaye serikali imetangaza ajira za walimu zipatazo elfu 36 na point kadhaa, ambapo walimu watapangiwa vituo vyao vya kazi muda si mrefu.

elfu 36 na pointi??

:A S 13::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13: you are kidding buddy!
 
Kama ni kutangaza walikwisha tangaza kitambo, hatuhitaji watangaze tena tunataka tujue tumepangiwa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…