SIRAJI RASHIDI
New Member
- Feb 24, 2014
- 1
- 0
Vijana najua mumesubiri sana lakini swala la ajira nitete bado kwasababu majina huwa yanapelekwa kwanza wilayani kwa wakulgenzi ndio post zitangazwe lakini mpaka sasa majina hayajapelekwa. Kwa hiyo ajira bado ila itakuwa kuanzia tar1 mwez 3 hadi 30. Swala la 26 aprl sio kweli.